Naamini kwa rehema za Bwana sote tu wazima. Leo ninakuja na ujumbe juu ya ushauri wa bure:
1. Katika maisha hakikisha unajiwekea msimamo ya kuwa unapofanya shughuli yoyote Ile hulegezi mikono lakini pia unaifanya kwa kiwango cha juu/ubora (make commitment to your excellence).
2. Ishi maisha yenye ujasiri kwani tunakabiliwa na maadui wakuu wawili ambao wamekuwa wakitushika na kutuvuta. Maadui Hawa ni hofu ya kushindwa na hofu ya kukataliwa. Jenga tabia ya kujisemesha ya kuwa unaweza kufanya.... Kamwe usiruhusu hofu kukushida.
3.Kujitoa (commitment) - Naona vyema nikatoa mfano ili kuweza mjua mtu mwenye tabia ya kujitoa. Tumchukulie mtu anayefanya kazi ya kuuza vyombo vya nyumbani ain't mauzo ya chochote like. Mtu WA Hindi hii ana kazi kubwa ya kufanya kazi yake akiwa na hamasa na tabasam mubashara. Hapo ni lazima auze kwani ameonyesha kujitoa kweli kweli na cha ajabu ni kwamba kwa kila mtu afanye biashara ya kuuza kuna siri nzito imejificha kwenye hamasa na tabasam mubashara kwani wateja huambukizwa na kuishia kukuunga mkono kwa kununua. Kama ulikuwa hulijui hilo hebu jaribu.
4. Ishi maisha ya kupenda kusaidia watu wasio na uwezo wa kukulipa. Hapa utaishi uhalisia wako. Acha maigizo ya kusaidia watu ati mmekuwa mkipigana tafu. Naomba nisieleweke vibaya - Ninachomaanisha kusaidiana ni vizuri lakini kusaidia mtu ambaye kutokana na hali yake uwezekano wa kukulipa haupo kabisa. Ukifanya hivyo ni vizuri zaidi.
5. Maandalizi - Hichi ni kielelezo kinachotofautisha weledi wa mtu mmoja na mwingine. Kimsingi chochote kitakachokuhitaji kukifanya, maandalizi ni muhimu sana. Kama kuna mwalimu anasoma ujumbe huu atakubaliana nami juu ya usemi usemao "PASIPO MAANDALIZI NI UDANGANYIFU". (NO PREPATATION THEN IT MEANS YOU INTEND TO CHEAT). Yaani usipojiandaa unachokwenda kufundisha watoto basi umejiandaa kuwadanganya haijalishi una ufahamu kiasi gani. waalimu wawili, mmoja hafundishi pasi kujiandaa.
1. Katika maisha hakikisha unajiwekea msimamo ya kuwa unapofanya shughuli yoyote Ile hulegezi mikono lakini pia unaifanya kwa kiwango cha juu/ubora (make commitment to your excellence).
2. Ishi maisha yenye ujasiri kwani tunakabiliwa na maadui wakuu wawili ambao wamekuwa wakitushika na kutuvuta. Maadui Hawa ni hofu ya kushindwa na hofu ya kukataliwa. Jenga tabia ya kujisemesha ya kuwa unaweza kufanya.... Kamwe usiruhusu hofu kukushida.
3.Kujitoa (commitment) - Naona vyema nikatoa mfano ili kuweza mjua mtu mwenye tabia ya kujitoa. Tumchukulie mtu anayefanya kazi ya kuuza vyombo vya nyumbani ain't mauzo ya chochote like. Mtu WA Hindi hii ana kazi kubwa ya kufanya kazi yake akiwa na hamasa na tabasam mubashara. Hapo ni lazima auze kwani ameonyesha kujitoa kweli kweli na cha ajabu ni kwamba kwa kila mtu afanye biashara ya kuuza kuna siri nzito imejificha kwenye hamasa na tabasam mubashara kwani wateja huambukizwa na kuishia kukuunga mkono kwa kununua. Kama ulikuwa hulijui hilo hebu jaribu.
4. Ishi maisha ya kupenda kusaidia watu wasio na uwezo wa kukulipa. Hapa utaishi uhalisia wako. Acha maigizo ya kusaidia watu ati mmekuwa mkipigana tafu. Naomba nisieleweke vibaya - Ninachomaanisha kusaidiana ni vizuri lakini kusaidia mtu ambaye kutokana na hali yake uwezekano wa kukulipa haupo kabisa. Ukifanya hivyo ni vizuri zaidi.
5. Maandalizi - Hichi ni kielelezo kinachotofautisha weledi wa mtu mmoja na mwingine. Kimsingi chochote kitakachokuhitaji kukifanya, maandalizi ni muhimu sana. Kama kuna mwalimu anasoma ujumbe huu atakubaliana nami juu ya usemi usemao "PASIPO MAANDALIZI NI UDANGANYIFU". (NO PREPATATION THEN IT MEANS YOU INTEND TO CHEAT). Yaani usipojiandaa unachokwenda kufundisha watoto basi umejiandaa kuwadanganya haijalishi una ufahamu kiasi gani. waalimu wawili, mmoja hafundishi pasi kujiandaa.
Maoni
Chapisha Maoni