Wanasaikologia na mtaalamu wa kushugurikia watu walioathirika kiasi cha kuwa mateja wa mambo Fulani ndugu Judson Brewer anasema tabia ni matokeo ya mafuzo yenye kuendana na kuzawadiwa. Tukio kimsingi huleta mafunzo kwenye ubongo kiasi cha kusababisha kuwa na wakati wa ‘kujisikia vizuri’, kama vile ulaji wa vipisi vya keki ya chokoleti. Kuachana na tabia kama hii ya ulaji wa vipande vya keki vya chokoleti huchukua muda – sanasana hii hutokana na sababu ambazo kwa kila tabia ambayo hujitokeza kwa mtu huwa kimsingi imepitia mchakato wa hatua tatu kuanzisha, tabia na zawadi.
Inatakiwa kuijua tabia kwa kina, uelewa wa kujua nini kinachoendelea kwenye ubongo, ili kuweza kubailika kuwa bora Zaidi. Lakini leo nitaelezea njia rahisi ya namna ya kushughulika na tabia mbaya.
Kihistoria, mfumo wa kuzawadiwa kuhusiana na ulaji chakula ni suala la kuweza kuishi yaani kula uendelee kuishi.Brewer yeye anasema kawaida taarifa hupelekwa kwenye ubongo ili kukumbuka sehemu chakula kilipotikana, na mara nyingi iwapo kilikuwa kitamu wakati wa kula. Lakini baada ya muda, ubongo hujitafutia njia ya ubunifu ya kuharakisha mfumo wa kuzawadiwa. Tabia huwa zaidi ya kujitafutia chakula – hugandamana na hisia kiasi cha kutaabiaka kuweza kuachanisha na kuwa kichocheo cha kujisikia vizuri zaidi.
‘Sasa, kutokana na mchakato uleule wa mfumo wa ubungo, tumepitia kutoka kujifunza kwa ajili ya kuishi hadi kufikia hatua ya kujimaliza/kujiua sisi wenyewe kutokana na tabia zifuatazo, ‘Unene kupindukia/hatarishi na uvutaji sigara ni moja ya tabia zinazoongoza kusababisha maradhi na vifo ambavyo kimsingi vingaepukika lakini watu wanaendele kuugua na kufa si tu Tanzania bali dunia nzima.
Njia mojawapo ya kujidanganya iliyo rahisi kukabiliana na hili tatizo ni kwa kuamua kuwa mdadisi, Brewer anasema, katika maabara yake, aliweza kujaribisha athari, ya ubongo juu ya uvutaji, zoezi ambalo lilihusisha kuhamasisha watu wavute sigara lakini wakati huo huo akiwa anapenda kujua kwa kudadisi ya kuwa nini kitatokea katika nyakati hizo za uvutaji sigara. Alichokuja kugundua ni kwamba mwanamama mmoja akatokea kufurahia sana uvutaji sigara kuliko wenzake wote: Uvutaji sigara kwa kuhusisha ubongo: harufu huwa kama chizi (cheese) mbaya na kuwa na radha kama kemikali.
‘ Kujionea kile tupatacho kutokana na tabia zetu hutusaidia kuelewa kwa kiwango cha undani Zaidi – kuijua tabia tokea ndani ya mifupa yetu ili tusijilazimishe kushikamana au kujizuia kujinasua na tabia mbaya’
Brewer anasema, ‘Mwanzo hakuna mwenye kupendelea kujiingiza kwenye tabia mbaya’.
Brewer anasema - hii ndiyo haswa ubongo ulivyo. Huwapa watua kupata picha halisi ya tabia zao, nana kile wakionacho ndicho huleta utofauti. Haitokei mara moja kana kwamba usiku umelala na kesho asubuhi badiliko, lakini watu wanaweza kupata hamasa ya kuanzisha tabia mpya pale wanapopata wasaa kwa kujionea madhara ya tabia/matendo yao mabaya
‘Jambo ambalo laweza onekana kutokuwa na mantiki ni kwamba ubongo ni suala la kupendelea kuwa karibu na kwa mtu mmoja mmoja kujua haswa nini kinatokea kwenye miili yetu na fahamu zetu kila wasaa’
Brewer anasema ‘Utayari wa kuachana na tuliyoyazoea huambatana na udadisi, ambao kimsingi huishia kukuzawadia’
Inatakiwa kuijua tabia kwa kina, uelewa wa kujua nini kinachoendelea kwenye ubongo, ili kuweza kubailika kuwa bora Zaidi. Lakini leo nitaelezea njia rahisi ya namna ya kushughulika na tabia mbaya.
Kihistoria, mfumo wa kuzawadiwa kuhusiana na ulaji chakula ni suala la kuweza kuishi yaani kula uendelee kuishi.Brewer yeye anasema kawaida taarifa hupelekwa kwenye ubongo ili kukumbuka sehemu chakula kilipotikana, na mara nyingi iwapo kilikuwa kitamu wakati wa kula. Lakini baada ya muda, ubongo hujitafutia njia ya ubunifu ya kuharakisha mfumo wa kuzawadiwa. Tabia huwa zaidi ya kujitafutia chakula – hugandamana na hisia kiasi cha kutaabiaka kuweza kuachanisha na kuwa kichocheo cha kujisikia vizuri zaidi.
‘Sasa, kutokana na mchakato uleule wa mfumo wa ubungo, tumepitia kutoka kujifunza kwa ajili ya kuishi hadi kufikia hatua ya kujimaliza/kujiua sisi wenyewe kutokana na tabia zifuatazo, ‘Unene kupindukia/hatarishi na uvutaji sigara ni moja ya tabia zinazoongoza kusababisha maradhi na vifo ambavyo kimsingi vingaepukika lakini watu wanaendele kuugua na kufa si tu Tanzania bali dunia nzima.
Njia mojawapo ya kujidanganya iliyo rahisi kukabiliana na hili tatizo ni kwa kuamua kuwa mdadisi, Brewer anasema, katika maabara yake, aliweza kujaribisha athari, ya ubongo juu ya uvutaji, zoezi ambalo lilihusisha kuhamasisha watu wavute sigara lakini wakati huo huo akiwa anapenda kujua kwa kudadisi ya kuwa nini kitatokea katika nyakati hizo za uvutaji sigara. Alichokuja kugundua ni kwamba mwanamama mmoja akatokea kufurahia sana uvutaji sigara kuliko wenzake wote: Uvutaji sigara kwa kuhusisha ubongo: harufu huwa kama chizi (cheese) mbaya na kuwa na radha kama kemikali.
‘ Kujionea kile tupatacho kutokana na tabia zetu hutusaidia kuelewa kwa kiwango cha undani Zaidi – kuijua tabia tokea ndani ya mifupa yetu ili tusijilazimishe kushikamana au kujizuia kujinasua na tabia mbaya’
Brewer anasema, ‘Mwanzo hakuna mwenye kupendelea kujiingiza kwenye tabia mbaya’.
Brewer anasema - hii ndiyo haswa ubongo ulivyo. Huwapa watua kupata picha halisi ya tabia zao, nana kile wakionacho ndicho huleta utofauti. Haitokei mara moja kana kwamba usiku umelala na kesho asubuhi badiliko, lakini watu wanaweza kupata hamasa ya kuanzisha tabia mpya pale wanapopata wasaa kwa kujionea madhara ya tabia/matendo yao mabaya
‘Jambo ambalo laweza onekana kutokuwa na mantiki ni kwamba ubongo ni suala la kupendelea kuwa karibu na kwa mtu mmoja mmoja kujua haswa nini kinatokea kwenye miili yetu na fahamu zetu kila wasaa’
Brewer anasema ‘Utayari wa kuachana na tuliyoyazoea huambatana na udadisi, ambao kimsingi huishia kukuzawadia’
Maoni
Chapisha Maoni