Marafiki waweza kufanya maono yako yapanuke zaidi kwa upande mmoja lakini pia waweza kukuzimisha juu ya maono yako, je wewe uko na lipi kati ya hayo mawili…’ Tim Kyara.
Siku ya kwanza:Tulijifunza ni kwa jinsi gani unaweza kuidhalilisha pesa nayo ikakukimbia
Siku ya pili: Tulijifunza ni kwa njinsi gani twaweza tibu mahusiano yaliyovunjika
Siku ya Tatu: Leo tutajifunza ukaribu wetu na baadhi ya watu unavyoweza athiri mahusiano yetu na pesa.
‘…Msidanganyike; Mazungumzo mabaya huharibu tabia njema…’
‘mwanadamu huzaliwa akiwa huru, lakini kila sehemu yuko na minyororo imemviringisha’ (man is born free, but everywhere he is in chain) Hii ni nukuu kutoka kwa Jacques Rousseau, Mfaranza mwenye philiosofia ya siasa (1712 – 1778).
Ni kwa nini anasema hivi?
Kwa nini baadhi ya watu hupata pesa kirahisi sana kuliko wengine wenye kushishughulisha sana lakini huishia kupata kiduchu na kuweka kwenye mifuko yenye matundu, kwa kawaida mifuko hiyo huunganishwa na mabomba yanayozisafirisha pesa hizo kuwaelekea wale ambao kwao kuzipata pesa si shida maana huzipata kirahisi.
Watu wako wa karibu watakuamulia mapato yako yawe kiasi gani (Your network will decide your networth) hii inamaanisha ya kwamba utafanikiwa kifedha pia kimaisha kutegemeana na watu unaowaruhusu kushirikiana nao katika maisha yako
Kuna watu unatakiwa uvunje uhusiano mara moja lakini kuna aina ya watu huna budi kupalilia mahusiano nao kwa kuwa wanacho kile ambacho unakihangaikia ukipate katika maisha yako.
… ni rahisi, muulize MUUMBAJI. Mtengenezaji ndiye hutoa jina ya hichi kiitwe vile na kadhalika na hutoa majina kulingana na matumizi yake au lengo lake kutegeana na jinsi alivyokitengeneza. Kwa mfano, gari aina ya BMW haliwezi likajiamulia liwe FIAT au ukiweka mafuta aina ya diesel kwenye gari inayotumia petrol, gari halitatembea…kila wakati angalia kitabu cha maelezo ya matumizi (Refer to the manual always). Huwezi kujua wewe ni nani na uliumbwa kwa kusudio gani na utendeje, tembelea kitabu cha aliyekuzalisha (Refer your manufacturer’s manual).
Ni kwa jinsi gani utafanya maamuzi ya yupi uwe naye na yupi hapana; Nafikiri jibu ni rahisi lakini wengi hawalijui:
Nina amini mtu yeyote atakayehusiana nawe ni lazima aoneshe mambo makuu matatu:
Kuheshimu Uwepo Wako – Watu wanostahili kuwa pamoja nawe mara zote watathamini uwepo wako ( Pia na muda wako), watakuinua kinafsi, watakutia moyo na kila mtakapokua mnatawanyika mara tu baada ya kuwa mumeonana unajisikia umeinuliwa na kuwa u bora zaidi kuliko kabla ya kukutana. Ni watu wanaoongeza thamani kwenye nafsi yako; Ni rasilimali zako hata kama hawakupi senti yoyote kwani wamekuwa wakikupatia kitu ambacho pesa hakiwezi kununua..Nafsi iliyoinuliwa, iliyohamasika,na kuchochewa kuendelea kufanya unachokipenda hata kama hupati pesa na kuamua kujibidisha zaidi ni vitu adimu sana mtu kuwa navyo lakini marafiki sahihi hukupatia.
Kama utampatia mtu (au sehemu) muda wako Na utakayoyapata kwa huyo mtu au watu ni kukatishwa tamaa, kupewa msongo wa mawazo na mambo hasi kibao, huh…
Siku ya kwanza:Tulijifunza ni kwa jinsi gani unaweza kuidhalilisha pesa nayo ikakukimbia
Siku ya pili: Tulijifunza ni kwa njinsi gani twaweza tibu mahusiano yaliyovunjika
Siku ya Tatu: Leo tutajifunza ukaribu wetu na baadhi ya watu unavyoweza athiri mahusiano yetu na pesa.
‘…Msidanganyike; Mazungumzo mabaya huharibu tabia njema…’
‘mwanadamu huzaliwa akiwa huru, lakini kila sehemu yuko na minyororo imemviringisha’ (man is born free, but everywhere he is in chain) Hii ni nukuu kutoka kwa Jacques Rousseau, Mfaranza mwenye philiosofia ya siasa (1712 – 1778).
Ni kwa nini anasema hivi?
Kwa nini baadhi ya watu hupata pesa kirahisi sana kuliko wengine wenye kushishughulisha sana lakini huishia kupata kiduchu na kuweka kwenye mifuko yenye matundu, kwa kawaida mifuko hiyo huunganishwa na mabomba yanayozisafirisha pesa hizo kuwaelekea wale ambao kwao kuzipata pesa si shida maana huzipata kirahisi.
Watu wako wa karibu watakuamulia mapato yako yawe kiasi gani (Your network will decide your networth) hii inamaanisha ya kwamba utafanikiwa kifedha pia kimaisha kutegemeana na watu unaowaruhusu kushirikiana nao katika maisha yako
Kuna watu unatakiwa uvunje uhusiano mara moja lakini kuna aina ya watu huna budi kupalilia mahusiano nao kwa kuwa wanacho kile ambacho unakihangaikia ukipate katika maisha yako.
… ni rahisi, muulize MUUMBAJI. Mtengenezaji ndiye hutoa jina ya hichi kiitwe vile na kadhalika na hutoa majina kulingana na matumizi yake au lengo lake kutegeana na jinsi alivyokitengeneza. Kwa mfano, gari aina ya BMW haliwezi likajiamulia liwe FIAT au ukiweka mafuta aina ya diesel kwenye gari inayotumia petrol, gari halitatembea…kila wakati angalia kitabu cha maelezo ya matumizi (Refer to the manual always). Huwezi kujua wewe ni nani na uliumbwa kwa kusudio gani na utendeje, tembelea kitabu cha aliyekuzalisha (Refer your manufacturer’s manual).
Ni kwa jinsi gani utafanya maamuzi ya yupi uwe naye na yupi hapana; Nafikiri jibu ni rahisi lakini wengi hawalijui:
Nina amini mtu yeyote atakayehusiana nawe ni lazima aoneshe mambo makuu matatu:
Kuheshimu Uwepo Wako – Watu wanostahili kuwa pamoja nawe mara zote watathamini uwepo wako ( Pia na muda wako), watakuinua kinafsi, watakutia moyo na kila mtakapokua mnatawanyika mara tu baada ya kuwa mumeonana unajisikia umeinuliwa na kuwa u bora zaidi kuliko kabla ya kukutana. Ni watu wanaoongeza thamani kwenye nafsi yako; Ni rasilimali zako hata kama hawakupi senti yoyote kwani wamekuwa wakikupatia kitu ambacho pesa hakiwezi kununua..Nafsi iliyoinuliwa, iliyohamasika,na kuchochewa kuendelea kufanya unachokipenda hata kama hupati pesa na kuamua kujibidisha zaidi ni vitu adimu sana mtu kuwa navyo lakini marafiki sahihi hukupatia.
Kama utampatia mtu (au sehemu) muda wako Na utakayoyapata kwa huyo mtu au watu ni kukatishwa tamaa, kupewa msongo wa mawazo na mambo hasi kibao, huh…
Maoni
Chapisha Maoni