Fanya Kazi Ya Daraja La Kwanza (Do A First Class Job)
Sasa natambua ya kwamba una kila kitu kikupasacho kushinda na unashinda na sikuzote utakuwa mshindi.
ONYO: Kamwe usikubali hukumu za watu wa kawaida kwani wewe si mtu wa kawaida.
Kumbuka:
1. Kujiweka katika nafasi ya watu muhimu inakusaidia kufikiri vitu muhimu
2. Fikiri ya kuwa kazi yako ni ya muhimu
3. Jikumbushe kila unapopata fursa ya kufanya hivyo ya kwamba wewe ni mtu wa daraja la kwanza.
4. Katika nyakati zozote za kimaisha , jiulize ‘Hivi ndivyo mtu muhimu anavyofikiri’ Kisha heshimu jibu utakalolipata.
U matokeo ya mazingira yako.
Fanya kuwa sheria juu ya kutafuta ushauri kutoka kwa watu wanaojua kukuzidi. Hii itakusaidia sana kubaki daraja la kwanza.
Watu hukupima kwa kuangalia ubora.
Fanyia mazoezi kuwa mtu wa viwango kwa kila ufanyacho kigezo kibaki ubora wa hali ya juu mpaka ifike mahali iwe sehemu ya maisha yako na kila mtu akikuona aseme huyu ni mtu wa viwango. Acha kabisa kukubaliana na vitu chini ya viwango.
Linapokuja suala la kuwaongelea watu, tafadhali ongelea mambo chanya tu yaa watu na si vinginevyo, maana hivyo ndivyo watu wa daraja la kwanza hufanya.
Kwa kila kitu ufanyacho hakikisha unailinda nafasi yako ya daraja la kwanza.
Jana wakati nataka kupanda daladala kuna kundi la watu lilijitokeza kuvamia mlango ili kuwahi viti. Mimi kwa kuwa najijua ni wa daraja la kwanza nikajitenga na hiyo purukushani na ilipoisha ndipo name nikaingia taratibu.
Inalipa kuijua nafasi yakao katika haya maisha. Tafadhali chagua kuwa mtu wa daraja la kwanza na hivyo hivyo matendo yako yakuelezee ya kwamba u mtu wa daraja la kwanza. Utafikia hatua kamwe hutaweza kuwa vinginevyo.
Kifupi namshukuru Mungu sana kwa huduma hii ya kufundisha na kuna mengi mazuri yanakuja.
Nikuombe kitu kimoja ‘KIZURI KULA NA MWENZAKO’. Naamini hukosi watu kumi wa kuwaelezea kinachoendelea karakana ya ubongo na pia usiache kuwaelezea masharti yaliyopo.
Wakikuelewa basi waadd maana u admin pia, huhitaji kunisubiria uniambie.
PAMOJA TUNAWEZA KUWA CHACHU YA MABADILIKO.
FANYIA MAZOEZI YA KUJIKUBALI NA KAMWE USIRUHUSU KUTOJIKUBALI KWANI KWA KUFANYA HIVYO UTAKUWA UNAJIADHIBU.
Weka mikakati na ingia kazini. Ukishindwa kupangilia mambo ya kufanya kufikia malengo maana yake umepanga kushindwa kufikia malengo yako (If yo do not plan, you plan to fail).
ONYO: KAMA HUTOBADILIKA HAKUNA CHA KUBADILIKA. NI KWELI 2018 NDIO IMEANZA. HIYO NI NAMBA TU NA HAINA MAANA YOYOTE. KIKUBWA NI WEWE.
NAWATAKIA KHERI NA BARAKA TELE KATIKA YA MWAKA 2018.
SEE YOU TO THE TOP WHERE IS NOT CROWDED.
Sasa natambua ya kwamba una kila kitu kikupasacho kushinda na unashinda na sikuzote utakuwa mshindi.
ONYO: Kamwe usikubali hukumu za watu wa kawaida kwani wewe si mtu wa kawaida.
Kumbuka:
1. Kujiweka katika nafasi ya watu muhimu inakusaidia kufikiri vitu muhimu
2. Fikiri ya kuwa kazi yako ni ya muhimu
3. Jikumbushe kila unapopata fursa ya kufanya hivyo ya kwamba wewe ni mtu wa daraja la kwanza.
4. Katika nyakati zozote za kimaisha , jiulize ‘Hivi ndivyo mtu muhimu anavyofikiri’ Kisha heshimu jibu utakalolipata.
U matokeo ya mazingira yako.
Fanya kuwa sheria juu ya kutafuta ushauri kutoka kwa watu wanaojua kukuzidi. Hii itakusaidia sana kubaki daraja la kwanza.
Watu hukupima kwa kuangalia ubora.
Fanyia mazoezi kuwa mtu wa viwango kwa kila ufanyacho kigezo kibaki ubora wa hali ya juu mpaka ifike mahali iwe sehemu ya maisha yako na kila mtu akikuona aseme huyu ni mtu wa viwango. Acha kabisa kukubaliana na vitu chini ya viwango.
Linapokuja suala la kuwaongelea watu, tafadhali ongelea mambo chanya tu yaa watu na si vinginevyo, maana hivyo ndivyo watu wa daraja la kwanza hufanya.
Kwa kila kitu ufanyacho hakikisha unailinda nafasi yako ya daraja la kwanza.
Jana wakati nataka kupanda daladala kuna kundi la watu lilijitokeza kuvamia mlango ili kuwahi viti. Mimi kwa kuwa najijua ni wa daraja la kwanza nikajitenga na hiyo purukushani na ilipoisha ndipo name nikaingia taratibu.
Inalipa kuijua nafasi yakao katika haya maisha. Tafadhali chagua kuwa mtu wa daraja la kwanza na hivyo hivyo matendo yako yakuelezee ya kwamba u mtu wa daraja la kwanza. Utafikia hatua kamwe hutaweza kuwa vinginevyo.
Kifupi namshukuru Mungu sana kwa huduma hii ya kufundisha na kuna mengi mazuri yanakuja.
Nikuombe kitu kimoja ‘KIZURI KULA NA MWENZAKO’. Naamini hukosi watu kumi wa kuwaelezea kinachoendelea karakana ya ubongo na pia usiache kuwaelezea masharti yaliyopo.
Wakikuelewa basi waadd maana u admin pia, huhitaji kunisubiria uniambie.
PAMOJA TUNAWEZA KUWA CHACHU YA MABADILIKO.
FANYIA MAZOEZI YA KUJIKUBALI NA KAMWE USIRUHUSU KUTOJIKUBALI KWANI KWA KUFANYA HIVYO UTAKUWA UNAJIADHIBU.
Weka mikakati na ingia kazini. Ukishindwa kupangilia mambo ya kufanya kufikia malengo maana yake umepanga kushindwa kufikia malengo yako (If yo do not plan, you plan to fail).
ONYO: KAMA HUTOBADILIKA HAKUNA CHA KUBADILIKA. NI KWELI 2018 NDIO IMEANZA. HIYO NI NAMBA TU NA HAINA MAANA YOYOTE. KIKUBWA NI WEWE.
NAWATAKIA KHERI NA BARAKA TELE KATIKA YA MWAKA 2018.
SEE YOU TO THE TOP WHERE IS NOT CROWDED.
Maoni
Chapisha Maoni