Wana Karakana ya Ubongo!
Jana niliongelea jambo moja kuhusu namna ya kusoma akili za watu kwa kutumia kitu nilichokiita mazingaombwe.
Kuna siri kubwa ndani ya kufanya mazingaombwe. Pia unahitaji ujuzi wa hali ya juu. Kwa maana hiyo wale wanaoifanya kazi hiyo hutumia muda mwingi sana kujifunza.
Huwezi kukurupuka na kujua siri hizo kwa siku moja. Siku hizi kuna Talk za Shows ambazo zinaonyesha siri za matukio mbalimbali ya mazingaombwe.
Hata watoto kwenye baadhi ya mashule wanafundishwa mbinu ndogo ndogo kwa njia ya Hesabu, sarafu na karata.
Mfano wanafundishwa namna ya kufanya sarafu itokomee kusikojulikana na pia ikaonekanie mahali pengine. Ni aina ya burudani kama hujui siri ya kinachofanyika.
Pia wanatumia karata kusoma ubongo wa mtu kumwambia karata aliyofikiria kwenye akili yake. Kuna wakati kama mtu sio mzoefu anaweza kukosea. Kwa hiyo unatakiwa umakini mkubwa.
Kwenye moja ya Talk shows, kuna mwana mazingaombwe mmoja ambaye anafanya mazingaombwe yake halafu anaonyesha mbinu zilizotumika ambazo wewe huzijui ili uelewe kilichoendelea.
Kuna rafiki yangu anatumia moja ya hizi Talk Shows kufanyia ubongo wake mazoezi. Akishaangalia mchezo mmoja. Anaamua kufikiria na kufanya ubongo wake uzionyeshe hizo siri kabla hajaziangalia. Lazima use na TV maalum inayoitwa TiVo ili usimamishe (pause) kwanza halafu ndo ukisharidhika uendelee. Aliniambia, amejikuta Mara nyingi anapatia kwa asilimia sabini. Hiyo ni maksi nzuri.
Kuna raha fulani unayoweza kuipata na pia kukuza ubongo wako unapoufanyia mazoezi. Hebu jaribu kufikiria Wazi la Leo litamalizia kwa kutaja Tarehe ngapi ni muhimu January 2018?
Bila shaka mazingaombwe yako yatakufikirisha kitu ambacho umekiona kwa namna moja au nyingine ulichokisoma.
Kujijengea tabia ya kusoma na kutafakari ulichokisoma inakomaza ubongo wako kukupa uwezo wa kufikiria na kutengua vitendawili, matatizo na pia majawabu ya vitu mbali mbali. Vyote hivyo unaweza kuvichukulia kama mazingaombwe.
Jenga tabia unapoona mtu anafanya kitu unachopenda kwa mfano kuendesha Farasi, penda kujifunza kwa kutumia akili kwanza. Je, unaweza kuruka kamba bila kamba? Hilo ni zoezi lenye ufanisi zaidi ya asilimia 70 ukilinganisha na kutumia kamba. Huoni hilo ni sehemu ya mazingaombwe unayoweza kufanya?
Fikiria zoezi gani jingine unaloweza kufanya likawa kama mazingaombwe?
Kama uko Dar unajua mazingaombwe unayoweza kufanya na Kocha wako kuanzia pale nje ya Geti la Muhimbili Tarehe 28 January kuanzia saa 8 mchana.
Kwa wale walioko mikoani, unaweza kumdhamini mtu mmoja au zaidi kupata T-shirt au Kofia.
Ni kwa jinsi unavyosoma na kujituma kwa kuyafanyia kazi haya nimekufundisha ndo utaanza kujishangaa mwenyewe jinsi ambavyo fursa mbalimbali zitaanza kujionyesha kwako.
Kuna wakati nilikuwa ninajiuliza nitaanza je kuwa Kocha? Nikaanza kichwani na hatimaye nikakutana na resources mbalimbali na wewe ukiwepo pia.
Huhitaji kusoma Vitabu vyenye maarifa ya Kujiongeza au Mazingaombwe ya namna hii ili uweze kufanya kitu, utajikuta unakutana na ajali njema kutoka kila upande wa maisha yako.
Hapa nataka kusisitiza kitu, ninachokisema siyo muujiza bali ni yale maandalizi unayoyafanya siku hadi siku.
Kuanzia Leo hakikisha unafanya mazingaombwe kabla ya kulala.
Panda kitandani baada ya kuhakikisha ubongo wako umeongezeka maarifa zaidi ya jana yake. Inawezekana. Akili ya Mwandishi Lameck Hulilo ambaye nimeona Vitabu vyake viwili humu ndani. Inawezekana Namba 1 na 2. Vitafute hivi vitabu vitakupa dopamine nzuri ya kuboresha mazingaombwe ya Ubongo wako.
Kuna faida na hasara za kutumia mazingaombwe yanayotumia akili zetu.
Nitawashirikisha kwa picha au video aina ya mazingaombwe yasiyofaa na ni wajibu wetu kufanya ukaguzi na kuyakimbia mawazo yenye kuleta aina hiyo ya mazingaombwe.
Hebu jipime ni mazingaombwe ya aina gani umeshajijengea uwezo wa kuyatenda.
Kwa malengo yako ya muda mfupi, wa kati na muda mrefu, unajipima je kama uko njia sahihi?
Tuanze kwa kutumia magari mapya ya kisasa. Gari yetu Karakana ya Ubongo ni sehemu ya kushirikishana mazingaombwe yenye dopamine ya manufaa.
Tarehe 28.01.2018 tutafanya jaribio dogo la kuona namna ya kujifanyia mapinduzi.
Sina shaka hiyo Tarehe umeiona hapo. Kuna mahali nilikuuliza swali awali. Je, ulipatia?
Kila mtu ana fursa ya kufanya kitu. Karibu sana. Leta mawazo yako! Yanaweza kuja hapa au hata inbox.
Mungu ni mwema.
Long live Karakana ya Ubongo.
Mungu atusaidie tunapoendelea kujifunza pamoja.
Nikuombe tena kitu kimoja ‘KIZURI KULA NA MWENZAKO’. Naamini hukosi watu kumi wa kuwaelezea kinachoendelea karakana ya ubongo na pia usiache kuwaelezea masharti yaliyopo.
Wakikuelewa basi waadd maana u admin pia, huhitaji kunisubiria uniambie.
PAMOJA TUNAWEZA KUWA CHACHU YA MABADILIKO.
Jana niliongelea jambo moja kuhusu namna ya kusoma akili za watu kwa kutumia kitu nilichokiita mazingaombwe.
Kuna siri kubwa ndani ya kufanya mazingaombwe. Pia unahitaji ujuzi wa hali ya juu. Kwa maana hiyo wale wanaoifanya kazi hiyo hutumia muda mwingi sana kujifunza.
Huwezi kukurupuka na kujua siri hizo kwa siku moja. Siku hizi kuna Talk za Shows ambazo zinaonyesha siri za matukio mbalimbali ya mazingaombwe.
Hata watoto kwenye baadhi ya mashule wanafundishwa mbinu ndogo ndogo kwa njia ya Hesabu, sarafu na karata.
Mfano wanafundishwa namna ya kufanya sarafu itokomee kusikojulikana na pia ikaonekanie mahali pengine. Ni aina ya burudani kama hujui siri ya kinachofanyika.
Pia wanatumia karata kusoma ubongo wa mtu kumwambia karata aliyofikiria kwenye akili yake. Kuna wakati kama mtu sio mzoefu anaweza kukosea. Kwa hiyo unatakiwa umakini mkubwa.
Kwenye moja ya Talk shows, kuna mwana mazingaombwe mmoja ambaye anafanya mazingaombwe yake halafu anaonyesha mbinu zilizotumika ambazo wewe huzijui ili uelewe kilichoendelea.
Kuna rafiki yangu anatumia moja ya hizi Talk Shows kufanyia ubongo wake mazoezi. Akishaangalia mchezo mmoja. Anaamua kufikiria na kufanya ubongo wake uzionyeshe hizo siri kabla hajaziangalia. Lazima use na TV maalum inayoitwa TiVo ili usimamishe (pause) kwanza halafu ndo ukisharidhika uendelee. Aliniambia, amejikuta Mara nyingi anapatia kwa asilimia sabini. Hiyo ni maksi nzuri.
Kuna raha fulani unayoweza kuipata na pia kukuza ubongo wako unapoufanyia mazoezi. Hebu jaribu kufikiria Wazi la Leo litamalizia kwa kutaja Tarehe ngapi ni muhimu January 2018?
Bila shaka mazingaombwe yako yatakufikirisha kitu ambacho umekiona kwa namna moja au nyingine ulichokisoma.
Kujijengea tabia ya kusoma na kutafakari ulichokisoma inakomaza ubongo wako kukupa uwezo wa kufikiria na kutengua vitendawili, matatizo na pia majawabu ya vitu mbali mbali. Vyote hivyo unaweza kuvichukulia kama mazingaombwe.
Jenga tabia unapoona mtu anafanya kitu unachopenda kwa mfano kuendesha Farasi, penda kujifunza kwa kutumia akili kwanza. Je, unaweza kuruka kamba bila kamba? Hilo ni zoezi lenye ufanisi zaidi ya asilimia 70 ukilinganisha na kutumia kamba. Huoni hilo ni sehemu ya mazingaombwe unayoweza kufanya?
Fikiria zoezi gani jingine unaloweza kufanya likawa kama mazingaombwe?
Kama uko Dar unajua mazingaombwe unayoweza kufanya na Kocha wako kuanzia pale nje ya Geti la Muhimbili Tarehe 28 January kuanzia saa 8 mchana.
Kwa wale walioko mikoani, unaweza kumdhamini mtu mmoja au zaidi kupata T-shirt au Kofia.
Ni kwa jinsi unavyosoma na kujituma kwa kuyafanyia kazi haya nimekufundisha ndo utaanza kujishangaa mwenyewe jinsi ambavyo fursa mbalimbali zitaanza kujionyesha kwako.
Kuna wakati nilikuwa ninajiuliza nitaanza je kuwa Kocha? Nikaanza kichwani na hatimaye nikakutana na resources mbalimbali na wewe ukiwepo pia.
Huhitaji kusoma Vitabu vyenye maarifa ya Kujiongeza au Mazingaombwe ya namna hii ili uweze kufanya kitu, utajikuta unakutana na ajali njema kutoka kila upande wa maisha yako.
Hapa nataka kusisitiza kitu, ninachokisema siyo muujiza bali ni yale maandalizi unayoyafanya siku hadi siku.
Kuanzia Leo hakikisha unafanya mazingaombwe kabla ya kulala.
Panda kitandani baada ya kuhakikisha ubongo wako umeongezeka maarifa zaidi ya jana yake. Inawezekana. Akili ya Mwandishi Lameck Hulilo ambaye nimeona Vitabu vyake viwili humu ndani. Inawezekana Namba 1 na 2. Vitafute hivi vitabu vitakupa dopamine nzuri ya kuboresha mazingaombwe ya Ubongo wako.
Kuna faida na hasara za kutumia mazingaombwe yanayotumia akili zetu.
Nitawashirikisha kwa picha au video aina ya mazingaombwe yasiyofaa na ni wajibu wetu kufanya ukaguzi na kuyakimbia mawazo yenye kuleta aina hiyo ya mazingaombwe.
Hebu jipime ni mazingaombwe ya aina gani umeshajijengea uwezo wa kuyatenda.
Kwa malengo yako ya muda mfupi, wa kati na muda mrefu, unajipima je kama uko njia sahihi?
Tuanze kwa kutumia magari mapya ya kisasa. Gari yetu Karakana ya Ubongo ni sehemu ya kushirikishana mazingaombwe yenye dopamine ya manufaa.
Tarehe 28.01.2018 tutafanya jaribio dogo la kuona namna ya kujifanyia mapinduzi.
Sina shaka hiyo Tarehe umeiona hapo. Kuna mahali nilikuuliza swali awali. Je, ulipatia?
Kila mtu ana fursa ya kufanya kitu. Karibu sana. Leta mawazo yako! Yanaweza kuja hapa au hata inbox.
Mungu ni mwema.
Long live Karakana ya Ubongo.
Mungu atusaidie tunapoendelea kujifunza pamoja.
Nikuombe tena kitu kimoja ‘KIZURI KULA NA MWENZAKO’. Naamini hukosi watu kumi wa kuwaelezea kinachoendelea karakana ya ubongo na pia usiache kuwaelezea masharti yaliyopo.
Wakikuelewa basi waadd maana u admin pia, huhitaji kunisubiria uniambie.
PAMOJA TUNAWEZA KUWA CHACHU YA MABADILIKO.
je ili niweze kuhfanikiwa kufanya ivo njia nzuri ni ipi?
JibuFuta