Wazo La Leo
Karibu tena msomaji wa Makala
Naamini umewahi kujiuliza na kama bado basi endelea kufuatana nami juu ya mada yetu ya leo isemayo Nguvu na muda unauwekeza wapi?
Kimsingi kila mmoja wetu kwa namna moja au nyingine kuna mahali anawekeza muda na nguvu zake.
Nini namaanisha nini nisemapo kuwekeza muda na nguvu?
Kimsingi chochote ufanyacho lazima utumie muda na nguvu pia. Hii ndio naita kuwekeza.
Hebu niachane na sehemu ambayo wewe huwekeza muda na nguvu zako, nami nijikite kwenye uwekezaji wenye tija.
Kujiendeleza
Kama kuna kitu ambacho mwanadamu amefumbwa basi ni eneo la kujiendeleza (Pesornal Development).
Hivi umewahi kujiuliza ni kwa nini umekuwa hupigi hatua? Au kwa nini umekuwa mtu wa uhitaji kila mara na kuzungukwa na madeni mpaka umegeuka kituko utazani unafanya maagizo barabarani maana kwa jinsi ugeukavyo mara umuonapo mdeni wako Joti atasubiri sana.
Wewe tunayekuona siye wewe. Wewe mwenyewe yuko ndani yako. Maana yake mko wawili wewe wan je na wewe wa ndani. Inafahamika pasi shaka yakuwa wewe wa ndani ni jemedari aliyelala. Akiamka huna shida tena. Shida ulizonazo na kutofanikiwa kwako usimtafute mchawi, mchawi ni wewe mwenyewe unayeendelea kumfanya wewe wa ndani aendelee kulala kama si kukoroma.
Sasa nini suluhisho? Hakuna njia ya mkato, wewe wa ndani anaamshwa kwa kumlisha maarifa kupitia usomaji wa vitabu kwa asilimia kubwa angalau nusu saa kwa siku japo muda wa mtu aliyechoshwa na haya maisha hutenga waalau masaa matatu kwa siku kwa lengo la kujisomea na huku akiwa na kinoti buku cha kuandika pointi zimgusazo ili akiwa ametulua aweze kujikumbusha.
Pili ni kupata mawazo mbalimbali yenye tija kama ilivyo kararakana ya ubongo.
Tatu kuwasilikiliza watu waliofanikiwa ambao wewe binafsi unawakubali.
Tatu kuhudhulia semina ikibidi hata kulipia pesa lipa.
Nne kuwa na mtu wa kukuongoza (Kocha). Hii ni muhimu sana.
Na mengine mengi ambayo waweza endeleza lakini mimi nimekudadavulia hayo ya msingi.
Naomba nikukuhakikishie, iwapo utawekeza muda na nguzvu zako katika endeo hili nakupa mwaka mmoja maisha yako lazima yabadilike sana. Mimi ni shahidi.
Ninakushukuru sana kwa kuweza kunifuatilia na nikuombe kuwa huru kunipigia, au kuniandikia. Pamoja tunaweza.
Seth Simon Mwakitalu
Entrepreneurship Consultant and Lifestyle Trainer.
Tel:- +255 754 441325; +255 714 051174; +255 788 493836
Email: ssmwakitalu2013@gmail.com
Website: www.qls.com
Be Ready To Learn/Karakana Ya Ubongo.
We empower people:-
1. Achieve life and Career goals through part-time business venture.
2. Acquire life changing business skills.
3. Prepare for retirement.
Karibu tena msomaji wa Makala
Naamini umewahi kujiuliza na kama bado basi endelea kufuatana nami juu ya mada yetu ya leo isemayo Nguvu na muda unauwekeza wapi?
Kimsingi kila mmoja wetu kwa namna moja au nyingine kuna mahali anawekeza muda na nguvu zake.
Nini namaanisha nini nisemapo kuwekeza muda na nguvu?
Kimsingi chochote ufanyacho lazima utumie muda na nguvu pia. Hii ndio naita kuwekeza.
Hebu niachane na sehemu ambayo wewe huwekeza muda na nguvu zako, nami nijikite kwenye uwekezaji wenye tija.
Kujiendeleza
Kama kuna kitu ambacho mwanadamu amefumbwa basi ni eneo la kujiendeleza (Pesornal Development).
Hivi umewahi kujiuliza ni kwa nini umekuwa hupigi hatua? Au kwa nini umekuwa mtu wa uhitaji kila mara na kuzungukwa na madeni mpaka umegeuka kituko utazani unafanya maagizo barabarani maana kwa jinsi ugeukavyo mara umuonapo mdeni wako Joti atasubiri sana.
Wewe tunayekuona siye wewe. Wewe mwenyewe yuko ndani yako. Maana yake mko wawili wewe wan je na wewe wa ndani. Inafahamika pasi shaka yakuwa wewe wa ndani ni jemedari aliyelala. Akiamka huna shida tena. Shida ulizonazo na kutofanikiwa kwako usimtafute mchawi, mchawi ni wewe mwenyewe unayeendelea kumfanya wewe wa ndani aendelee kulala kama si kukoroma.
Sasa nini suluhisho? Hakuna njia ya mkato, wewe wa ndani anaamshwa kwa kumlisha maarifa kupitia usomaji wa vitabu kwa asilimia kubwa angalau nusu saa kwa siku japo muda wa mtu aliyechoshwa na haya maisha hutenga waalau masaa matatu kwa siku kwa lengo la kujisomea na huku akiwa na kinoti buku cha kuandika pointi zimgusazo ili akiwa ametulua aweze kujikumbusha.
Pili ni kupata mawazo mbalimbali yenye tija kama ilivyo kararakana ya ubongo.
Tatu kuwasilikiliza watu waliofanikiwa ambao wewe binafsi unawakubali.
Tatu kuhudhulia semina ikibidi hata kulipia pesa lipa.
Nne kuwa na mtu wa kukuongoza (Kocha). Hii ni muhimu sana.
Na mengine mengi ambayo waweza endeleza lakini mimi nimekudadavulia hayo ya msingi.
Naomba nikukuhakikishie, iwapo utawekeza muda na nguzvu zako katika endeo hili nakupa mwaka mmoja maisha yako lazima yabadilike sana. Mimi ni shahidi.
Ninakushukuru sana kwa kuweza kunifuatilia na nikuombe kuwa huru kunipigia, au kuniandikia. Pamoja tunaweza.
Seth Simon Mwakitalu
Entrepreneurship Consultant and Lifestyle Trainer.
Tel:- +255 754 441325; +255 714 051174; +255 788 493836
Email: ssmwakitalu2013@gmail.com
Website: www.qls.com
Be Ready To Learn/Karakana Ya Ubongo.
We empower people:-
1. Achieve life and Career goals through part-time business venture.
2. Acquire life changing business skills.
3. Prepare for retirement.
Maoni
Chapisha Maoni