Wazo La Leo
Hongera sana mwanakarakana ya ubongo kwa siku hii nyingine nzuri sana ya leo.
Ni nafasi bora na ya kipekee sana kwetu kwenda kuweka juhudi kubwa ili kuweza kupata matokeo bora sana.
Leo nimeonelea vyema nigusie ushiriki wa semina ya kimya kimya ambayo ni muhimu sana kushiriki kwa kila asomaye Makala hii.
Somo hili nimejifunza kwa undani kutoka kwa moja wa mentors wangu Mr. Jim Rohn ambaye kwa sasa ni marehemu japo anaishi.
Waweza niuliza kivipi anaishi? Kazi zake zinaendelea kubadilisha maisha ya watu siku hadi siku.
Sasa turudi kwenye mada yetu ya semina ya kimya kimya itakayokusaidia kubadili kabisa maisha yako kama unataka. Maana bado uchaguzi ni wako, name kamwe siwezi kukulazimisha zaidi ya kukueleza.
Semina ya kimya kimya ni hii:
UFUNGUO MKUBWA JUU YA MAISHA YAKO BORA YAJAYO NI WEWE (The MAJOR key to your better future is YOU).
Ninakuomba kama una gari, basi chapisha haya maandishi na uyaweke sehemu ambayo utalazimika kuyasoma kila wakati ukiwa kwenye gari yako.
Kwa kufanya hivyo utakuwa unaendelea kujipatia semina kimya kimya.
Kwa wale wasio na magari, basi chapisha hilo andiko na weka sehemu chumbani kwako itakayo kulazimu uwe unaiona semina yako ya kimya kimya kila wakati. Yaweza kuwa kwenye frigi au kabati la nguo au kitandani. Bado wewe ni muamuzi wa wapi pa kuweka.
Nasisitiza kila mmoja ashiriki semina hii ya kimya kimya na baada ya miezi sita tuletee ushuhuda nini kimetokea kwenye maisha yako.
Wengi hushangaa, umesomaa na jamaa chuo kimoja na wote mnasota kwenye foleni kuelekea ofisini na cha ajabu wote mko ofisi moja lakini mshara wenu unatofautiana pamoja na vyeti ufaulu ni sawa.
Mwenzako analipwa TZS 1,000,000 na wewe unalipwa TZS 200,000. Sababu ni nini?
Si tu kwenye ajira, hata nje ya ajira mwenzako mliyemaliza darasa la saba pamoja na kukosa ufaulu leo hii ana kipato mara kumi ya kwako. Nini tofauti?
Wengine wamejawa na visingizio ati mwenzangu ana muda mwingi. Hebu acha hadithi za sungura. Muda kwa kila mwanadamu ni masaa 24 hakuna wa kuongezewa na hivyo suala la mimi sina muda na yule ana muda ni ujinga tu wa kupangilia vipaumbele.
Kikubwa si muda bali thamani upelekayo sokoni ndiyo inayoamua nani alipwe zaidi na nani alipwe kidogo.
Hiyo ni kanuni ya dunia. Weka thamani kubwa kwenye soko na pokea ujira mkubwa. Suala la muda hapana. Sababu ni kwamba huwezi ongeza muda bali waweza jiongezea uthamani wako kwenye soko na watu wakapanda dau wenyewe hata kabla hujasema kitu.
Sasa unaniuliza: Je na mimi naweza pata mara kumi zaidi ya sasa? Jibu ni ndio iwapo…..
Maisha yetu yajulikana kwa IWAPO utaamua KWANZA kushughulika na WEWE mwenyewe. Maana WEWE ndio tatizo. Uthamani wako ukiongezeka tu, kila kitu kitabadilika.
Naona niishie hapa. Mwenye kuelewa na aelewe. Mabadiliko huanza na wewe.
Ninakushukuru sana kwa kuweza kunifuatilia na nikuombe kuwa huru kunipigia, au kuniandikia. Pamoja tunaweza. WASAMBAZIE NA WENGINE WAJIFUNZE.
Je unataka kuwa mmoja wa watu wapendao kujifunza? Kundi la watsApp lijulikanalo kwa jina la KARAKANA YA UBONGO ni jibu lako.
Kundi lina watu wasiopungua 200 ambao hubadilishana mawazo yenye tija kila siku.
Kujiunga na kundi hili bofya hapa: https://chat.whatsapp.com/AVwbS3re0jECObi2VK5uzm
Seth Simon Mwakitalu
Senior Auditor, Entrepreneurship Consultant, Coach and Lifestyle Trainer.
Tel:- +255 754 441325; +255 714 051174; +255 788 493836
Email: ssmwakitalu2013@gmail.com
Websites:www.karakanayaubongo.blogspot.com;
:www.bereadytolearn.org
We empower people:-
1. Achieve life and Career goals through part-time business venture.
2. Acquire life changing business skills.
3. Prepare for retirement.
Hongera sana mwanakarakana ya ubongo kwa siku hii nyingine nzuri sana ya leo.
Ni nafasi bora na ya kipekee sana kwetu kwenda kuweka juhudi kubwa ili kuweza kupata matokeo bora sana.
Leo nimeonelea vyema nigusie ushiriki wa semina ya kimya kimya ambayo ni muhimu sana kushiriki kwa kila asomaye Makala hii.
Somo hili nimejifunza kwa undani kutoka kwa moja wa mentors wangu Mr. Jim Rohn ambaye kwa sasa ni marehemu japo anaishi.
Waweza niuliza kivipi anaishi? Kazi zake zinaendelea kubadilisha maisha ya watu siku hadi siku.
Sasa turudi kwenye mada yetu ya semina ya kimya kimya itakayokusaidia kubadili kabisa maisha yako kama unataka. Maana bado uchaguzi ni wako, name kamwe siwezi kukulazimisha zaidi ya kukueleza.
Semina ya kimya kimya ni hii:
UFUNGUO MKUBWA JUU YA MAISHA YAKO BORA YAJAYO NI WEWE (The MAJOR key to your better future is YOU).
Ninakuomba kama una gari, basi chapisha haya maandishi na uyaweke sehemu ambayo utalazimika kuyasoma kila wakati ukiwa kwenye gari yako.
Kwa kufanya hivyo utakuwa unaendelea kujipatia semina kimya kimya.
Kwa wale wasio na magari, basi chapisha hilo andiko na weka sehemu chumbani kwako itakayo kulazimu uwe unaiona semina yako ya kimya kimya kila wakati. Yaweza kuwa kwenye frigi au kabati la nguo au kitandani. Bado wewe ni muamuzi wa wapi pa kuweka.
Nasisitiza kila mmoja ashiriki semina hii ya kimya kimya na baada ya miezi sita tuletee ushuhuda nini kimetokea kwenye maisha yako.
Wengi hushangaa, umesomaa na jamaa chuo kimoja na wote mnasota kwenye foleni kuelekea ofisini na cha ajabu wote mko ofisi moja lakini mshara wenu unatofautiana pamoja na vyeti ufaulu ni sawa.
Mwenzako analipwa TZS 1,000,000 na wewe unalipwa TZS 200,000. Sababu ni nini?
Si tu kwenye ajira, hata nje ya ajira mwenzako mliyemaliza darasa la saba pamoja na kukosa ufaulu leo hii ana kipato mara kumi ya kwako. Nini tofauti?
Wengine wamejawa na visingizio ati mwenzangu ana muda mwingi. Hebu acha hadithi za sungura. Muda kwa kila mwanadamu ni masaa 24 hakuna wa kuongezewa na hivyo suala la mimi sina muda na yule ana muda ni ujinga tu wa kupangilia vipaumbele.
Kikubwa si muda bali thamani upelekayo sokoni ndiyo inayoamua nani alipwe zaidi na nani alipwe kidogo.
Hiyo ni kanuni ya dunia. Weka thamani kubwa kwenye soko na pokea ujira mkubwa. Suala la muda hapana. Sababu ni kwamba huwezi ongeza muda bali waweza jiongezea uthamani wako kwenye soko na watu wakapanda dau wenyewe hata kabla hujasema kitu.
Sasa unaniuliza: Je na mimi naweza pata mara kumi zaidi ya sasa? Jibu ni ndio iwapo…..
Maisha yetu yajulikana kwa IWAPO utaamua KWANZA kushughulika na WEWE mwenyewe. Maana WEWE ndio tatizo. Uthamani wako ukiongezeka tu, kila kitu kitabadilika.
Naona niishie hapa. Mwenye kuelewa na aelewe. Mabadiliko huanza na wewe.
Ninakushukuru sana kwa kuweza kunifuatilia na nikuombe kuwa huru kunipigia, au kuniandikia. Pamoja tunaweza. WASAMBAZIE NA WENGINE WAJIFUNZE.
Je unataka kuwa mmoja wa watu wapendao kujifunza? Kundi la watsApp lijulikanalo kwa jina la KARAKANA YA UBONGO ni jibu lako.
Kundi lina watu wasiopungua 200 ambao hubadilishana mawazo yenye tija kila siku.
Kujiunga na kundi hili bofya hapa: https://chat.whatsapp.com/AVwbS3re0jECObi2VK5uzm
Seth Simon Mwakitalu
Senior Auditor, Entrepreneurship Consultant, Coach and Lifestyle Trainer.
Tel:- +255 754 441325; +255 714 051174; +255 788 493836
Email: ssmwakitalu2013@gmail.com
Websites:www.karakanayaubongo.blogspot.com;
:www.bereadytolearn.org
We empower people:-
1. Achieve life and Career goals through part-time business venture.
2. Acquire life changing business skills.
3. Prepare for retirement.
Maoni
Chapisha Maoni