Somo Juu Ya Fedha/Shekeli Sehemu Ya 9
Leo tena imekuwa siku ya kutiwa moyo sana kutoka kwa mmoja wa wafuatiliaji wa makala zangu za fedha/shekeli kwani ameweza kuniandikia ushuhuda ambao nimeona vyema nawe uweze kuusoma huenda ukaongeza kitu katika safari hii ya kujifunza.
Ushuhuda huu umenifanya niuchukue kama Makala na hapo ndipo namalizia.
Endela kunifuatilia katika Makala zangu nitakuwa nikitiririka juu ya elimu ya fedha na lengo nikukufikisha mahala uweze kuzitawala na zisikutawale, na ujue jinsi ya kuzitunza na kuzifanya zijiongeze kila iitwapo leo.
NA HUU NDIO USHUHUDA WANGU KATIKA MAKALA ZAKO
Habari baba ,na nahisi neno habari haitoshi kuonesha heshima ya salamu kwako ,naomba niwe mwafrika kabisa ,Kama sio mswahiili ,
SHIKAMOO BABA ,,
Na utaelewa mwishoni maana ya SHIKAMOO yangu kwako.
naam nakuandikia ujumbe huu nikiwa mwenye tabasamu kubwa na furaha ,na kadri utakavyosoma ujumbe huu utaelewa chanzo Cha furaha yangu .
Nimekuwa nikikufuatilia Sana makala zako ,na Mimi nimekujua MWAKA huu wa 2020 ,ila nimekusoma katika makala zako karibu asilimia 60 hivi ,na naendelea kusoma ,
Makala za mfululizo wa pesa au fedha napenda Kaneno ka shekeli.
Maswali na homework unazoacha zimekuwa zenye nguvu Sana katika akili yangu .Namna napaswa kuwa mwenye nidhamu ya pesa ,mipango ,na uataratibu wa akiba na mpangilio au mgawanyo wa kipato ,ndivyo vilivyo nipiga butwaa ,ndio
Ni Kama nilikuwa naishi gizani hivi kiasi ya kusema kuwa NILIKUWA WAPI ,NA INGEKUWA VIP NISINGEUPATA UJUMBE HUU .Sitamani hata kuwaza ingekuwaje .
Nikukumbushe tu baba yangu kuwa sio Kama sijasoma nimesoma ,lakini mbona Kama mambo haya nimageni ????
Aaa hapana ,sio mageni ila nimegundua kuwa ,na hasa ile MAKALA YA CHUO KIKUU CHA MAISHA ,kuwa elimu ya darasani huenda isikupe mbinu na silaha kamili ya kupambana na MAISHA ya mtaani ,NA HAPA NDIPO MAKALA ZAKO ZINANIPA MBINU MPYA KABISA ZA KUPAMBANA NA MAISHA .
Daa nisamehe Sana baba kwa kuandika maneno mengi ,ila nashindwa kuzuia hisia zangu ,inabidi tu nikwambie , Somo la kuweka akiba ndilo limenishangaza zaidi ,yaani jinsi ya kufanya mgawanyo wa pesa yangu ,KWENYE KUWEKA AKIBA ,MATUMIZI ,Akiba inayoguswa na isiyoguswa KABISA .niliyopata Somo hilo ,sikuchelewa hata kidogo kumwambia mke wangu ,kwani mara nyingi mke ndani ya familia ndo anajenga au kubomoa ,msingi wa uchumi .usiku ulipofika baada ya chakula Cha jioni na kukiwa na utulivu ,hapo ndipo ikabidi nimuelezee kuhusu MAAJABU YA MAKALA ZAKO . Sikuwahi kabisa kumwelezea mambo ya Makala zako na KARAKANAYAUBONGO ,ila kwa point hii sikuchelewa ,nikamwambia aisome makala moja baada ya nyingine na kuichambua ,
Hakika baada ya hapo Ni historia ,
Nimavyozungumza tayari tumejiandikia ratiba ya mwezi mzima ya tutakavyo punguza MATUMIZI ,na kuongeza kipato chetu.
Na suala la benk yaani wiki ijayo tunaenda kufungua Account ya akiba na malengo.
Sasa Nina amani kuwa mke wangu kashajua ukweli juu ya Fedha .niseme Nini Mimi ,
Baba nikuhakikishie panapo majaliwa mwezi December ,nakuja na ushuhuda Kama sio kuongeza biashara na kuwa na kakiwanja ,sijui ,ila kwa mbinu hizo nilizojifunza nimenyanyua mikono
MARK MY WORLD ,"IAM FUTURE BILLIONAIRE"Kwa jina la Mwenyezi Mungu .
Baba samahan nimekuchosha haitoshi kuandika hapa ,nakukaribisha nyumbani kwangu ,tafadhari tutembelee baba ,nahisi kuna SIRI ZA AJABU UNAZO JUU YA MAISHA NA UCHUMI .
Nikiwa Kama mwafrika ,kwa heshima kabisa na taadhima
SHIKAMOO BABA , SHIKAMOO BABA , SHIKAMOO BABA
UBARIKIWE BABA.
Karakana ya ubongo tunatengeneza ubongo wako
Kwa wasioijua karakana ya ubongo ni watu waliojikusanya pamoja katika kundi la watsapp kwa lengo la kuondoa takataka kwenye ufahamu na kuanza kujifunza pamoja na kukutana angalau mara moja kwa mwezi ili kuwa chachu ndani na nje ya nchi.
Ili kujiunga yakupasa kuwasiliana nami ili kuweza kukufanyia udahili kama unavigezo vya kuwa mmoja wa wanakarakana ya ubongo.
Na kwa sasa tuna kitabu maarufu kiitwacho ‘KOPE ZAKO BAHARI YAKO’ na kama wewe ni mmoja ya wanaojipenda hiki kitabu si cha kukosa. Tuwasiliane na kuona jinsi ya kukipata.
Seth Simon Mwakitalu
Senior Auditor, Entrepreneurship Consultant, Coach and Lifestyle Trainer.
Tel:- +255 754 441325; +255 714 051174; +255 788 493836
Email: ssmwakitalu2013@gmail.com
Websites:www.karakanayaubongo.blogspot.com;
Instagram: karakana_ya_ubongo
Facebook: https://www.facebook.com/karakana-YA-Ubongo-109000130642880/?referr=whatsapp
You tube: karakanayaubongo
We empower people:-
1. Achieve life and Career goals through part-time business venture.
2. Acquire life changing business skills.
3. Prepare for retirement.
Leo tena imekuwa siku ya kutiwa moyo sana kutoka kwa mmoja wa wafuatiliaji wa makala zangu za fedha/shekeli kwani ameweza kuniandikia ushuhuda ambao nimeona vyema nawe uweze kuusoma huenda ukaongeza kitu katika safari hii ya kujifunza.
Ushuhuda huu umenifanya niuchukue kama Makala na hapo ndipo namalizia.
Endela kunifuatilia katika Makala zangu nitakuwa nikitiririka juu ya elimu ya fedha na lengo nikukufikisha mahala uweze kuzitawala na zisikutawale, na ujue jinsi ya kuzitunza na kuzifanya zijiongeze kila iitwapo leo.
NA HUU NDIO USHUHUDA WANGU KATIKA MAKALA ZAKO
Habari baba ,na nahisi neno habari haitoshi kuonesha heshima ya salamu kwako ,naomba niwe mwafrika kabisa ,Kama sio mswahiili ,
SHIKAMOO BABA ,,
Na utaelewa mwishoni maana ya SHIKAMOO yangu kwako.
naam nakuandikia ujumbe huu nikiwa mwenye tabasamu kubwa na furaha ,na kadri utakavyosoma ujumbe huu utaelewa chanzo Cha furaha yangu .
Nimekuwa nikikufuatilia Sana makala zako ,na Mimi nimekujua MWAKA huu wa 2020 ,ila nimekusoma katika makala zako karibu asilimia 60 hivi ,na naendelea kusoma ,
Makala za mfululizo wa pesa au fedha napenda Kaneno ka shekeli.
Maswali na homework unazoacha zimekuwa zenye nguvu Sana katika akili yangu .Namna napaswa kuwa mwenye nidhamu ya pesa ,mipango ,na uataratibu wa akiba na mpangilio au mgawanyo wa kipato ,ndivyo vilivyo nipiga butwaa ,ndio
Ni Kama nilikuwa naishi gizani hivi kiasi ya kusema kuwa NILIKUWA WAPI ,NA INGEKUWA VIP NISINGEUPATA UJUMBE HUU .Sitamani hata kuwaza ingekuwaje .
Nikukumbushe tu baba yangu kuwa sio Kama sijasoma nimesoma ,lakini mbona Kama mambo haya nimageni ????
Aaa hapana ,sio mageni ila nimegundua kuwa ,na hasa ile MAKALA YA CHUO KIKUU CHA MAISHA ,kuwa elimu ya darasani huenda isikupe mbinu na silaha kamili ya kupambana na MAISHA ya mtaani ,NA HAPA NDIPO MAKALA ZAKO ZINANIPA MBINU MPYA KABISA ZA KUPAMBANA NA MAISHA .
Daa nisamehe Sana baba kwa kuandika maneno mengi ,ila nashindwa kuzuia hisia zangu ,inabidi tu nikwambie , Somo la kuweka akiba ndilo limenishangaza zaidi ,yaani jinsi ya kufanya mgawanyo wa pesa yangu ,KWENYE KUWEKA AKIBA ,MATUMIZI ,Akiba inayoguswa na isiyoguswa KABISA .niliyopata Somo hilo ,sikuchelewa hata kidogo kumwambia mke wangu ,kwani mara nyingi mke ndani ya familia ndo anajenga au kubomoa ,msingi wa uchumi .usiku ulipofika baada ya chakula Cha jioni na kukiwa na utulivu ,hapo ndipo ikabidi nimuelezee kuhusu MAAJABU YA MAKALA ZAKO . Sikuwahi kabisa kumwelezea mambo ya Makala zako na KARAKANAYAUBONGO ,ila kwa point hii sikuchelewa ,nikamwambia aisome makala moja baada ya nyingine na kuichambua ,
Hakika baada ya hapo Ni historia ,
Nimavyozungumza tayari tumejiandikia ratiba ya mwezi mzima ya tutakavyo punguza MATUMIZI ,na kuongeza kipato chetu.
Na suala la benk yaani wiki ijayo tunaenda kufungua Account ya akiba na malengo.
Sasa Nina amani kuwa mke wangu kashajua ukweli juu ya Fedha .niseme Nini Mimi ,
Baba nikuhakikishie panapo majaliwa mwezi December ,nakuja na ushuhuda Kama sio kuongeza biashara na kuwa na kakiwanja ,sijui ,ila kwa mbinu hizo nilizojifunza nimenyanyua mikono
MARK MY WORLD ,"IAM FUTURE BILLIONAIRE"Kwa jina la Mwenyezi Mungu .
Baba samahan nimekuchosha haitoshi kuandika hapa ,nakukaribisha nyumbani kwangu ,tafadhari tutembelee baba ,nahisi kuna SIRI ZA AJABU UNAZO JUU YA MAISHA NA UCHUMI .
Nikiwa Kama mwafrika ,kwa heshima kabisa na taadhima
SHIKAMOO BABA , SHIKAMOO BABA , SHIKAMOO BABA
UBARIKIWE BABA.
Karakana ya ubongo tunatengeneza ubongo wako
Kwa wasioijua karakana ya ubongo ni watu waliojikusanya pamoja katika kundi la watsapp kwa lengo la kuondoa takataka kwenye ufahamu na kuanza kujifunza pamoja na kukutana angalau mara moja kwa mwezi ili kuwa chachu ndani na nje ya nchi.
Ili kujiunga yakupasa kuwasiliana nami ili kuweza kukufanyia udahili kama unavigezo vya kuwa mmoja wa wanakarakana ya ubongo.
Na kwa sasa tuna kitabu maarufu kiitwacho ‘KOPE ZAKO BAHARI YAKO’ na kama wewe ni mmoja ya wanaojipenda hiki kitabu si cha kukosa. Tuwasiliane na kuona jinsi ya kukipata.
Seth Simon Mwakitalu
Senior Auditor, Entrepreneurship Consultant, Coach and Lifestyle Trainer.
Tel:- +255 754 441325; +255 714 051174; +255 788 493836
Email: ssmwakitalu2013@gmail.com
Websites:www.karakanayaubongo.blogspot.com;
Instagram: karakana_ya_ubongo
Facebook: https://www.facebook.com/karakana-YA-Ubongo-109000130642880/?referr=whatsapp
You tube: karakanayaubongo
We empower people:-
1. Achieve life and Career goals through part-time business venture.
2. Acquire life changing business skills.
3. Prepare for retirement.
Maoni
Chapisha Maoni