Somo Juu Ya Fedha/Shekeli Sehemu Ya 11
Habari za Leo mfuatiliaji wangu wa makala zangu za kila siku.
Bado tunaendelea na somo letu pendwa juu ya fedha/shekeli
Leo tunakwenda kujifunza ‘UMASIKINI HAUHESHIMU MTU, UMRI, RANGI, CHEO, SEHEMU AISHIYO AU DINI YAKE.’
Nikuombe sasa tusafiri pamoja kwa njia ya kuwazua. Hebu fikiria mtu aliyenunua pasi ya umeme na kuanza kuhangaika kupasia nguo kwa pasi ya umeme pasipo kuiunganisha kwenye switch ili pasi ipate moto na kuweza kupasia nguo; Lakini cha ajabu kuishika tu pasi kazi ya kupasia ikaanza mara moja na huku akiendelea kustaajabu ni kwa nini nguo hazisikii pasi ambayo kwa uhakika ni nzuri kwa muonekano.
Jitihada ziliendelea hata kutumia vitufe vya kubadili kiwango cha joto kwenye pasi lakini pasi mafanikio.
Baada ya mahangaiko ya kutosha ndipo aliamua kukisoma kijitabu kilichoambatana na hiyo pasi na kugundua ya kuwa kuna hatua muhimu na ndio ya kwanza ilipuuzwa ambayo nikuunganisha plug ya pasi kwenye socket ili kupata moto na kuweza kupasia mara moja. Ni kivipi waweza tumia pasi ya umeme pasipo kuiunganisha kwenye socket ya umeme. Plug ya pasi ikiwa imeunganishwa kwenye soketi juhudi zote za kupasia nguo zitazaa matunda.
Ninachotaka ukijue siku ya leo ni kuwa juhudi za kupasia nguo hazikuwa mbaya lakini zilishindwa kutoa matokeo chanya kwa sababu moja kuu kutounganishwa kwenye socket ambako ndio upatikanapo moto wa kuwezesha kupasia.
Wengi wetu ni kama huyu mtu, Tunafanya kila tuwezayo kuyafanya katika maisha kuboresha maisha yetu lakini cha ajabu tunabaki tukiwa masikini ni kwa sababu hatutajiunganisha na yale yawezayo kubadilisha kabisa historia zetu na kupuuzia kijitabu cha taarifa ya jinsi gani juhudi zetu zaweza zaa matunda.
Ili tuweze kuwa matajiri ni muhimu kwanza kujua kwanini tu masikini.
Hebu tafakari haya maswali mawili muhimu ambayo kila siku tujithamini na tuone kwanini moja ya swali si vyema kujiuliza na linguine ni jema.
NIFANYE NINI KUWEZA KUWA TAJIRI – X
KWA NINI MIMI SI TAJIRI - √
Wengi wetu tumejitaabisha na hata kufanya utafiti wa nini tufanye ili kufikia utajiri badala ya kujiuliza kwa nini tu masikini kwani kwa kufanya hivyo tutagundua vipingamizi ambavyo tutaweza pambana navyo na kujinasua kwenye dimbwi la umasikini.
Bila kujali unaishi wapi umasikini ni matokeo ya sababu zilizo chini ya mambo 7 muhimu ambayo ukiyajua basi itakurahisishia kupambana na umasikini.
Acha kwa leo niishie hapa. Usikose kunifuatilia katika Makala zinazofuata.
Karakana ya ubongo tunatengeneza ubongo wako
Kwa wasioijua karakana ya ubongo ni watu waliojikusanya pamoja katika kundi la watsapp kwa lengo la kuondoa takataka kwenye ufahamu na kuanza kujifunza pamoja na kukutana angalau mara moja kwa mwezi ili kuwa chachu ndani na nje ya nchi.
Ili kujiunga yakupasa kuwasiliana nami ili kuweza kukufanyia udahili kama unavigezo vya kuwa mmoja wa wanakarakana ya ubongo.
Na kwa sasa tuna kitabu maarufu kiitwacho ‘KOPE ZAKO BAHARI YAKO’ na kama wewe ni mmoja ya wanaojipenda hiki kitabu si cha kukosa. Tuwasiliane na kuona jinsi ya kukipata.
Seth Simon Mwakitalu
Senior Auditor, Entrepreneurship Consultant, Coach and Lifestyle Trainer.
Tel:- +255 754 441325; +255 788 493836
Email: ssmwakitalu2013@gmail.com
Websites:www.karakanayaubongo.blogspot.com;
Instagram: karakana_ya_ubongo
Facebook: https://www.facebook.com/karakana-YA-Ubongo-109000130642880/?referr=whatsapp
You tube: karakanayaubongo
We empower people:-
1. Achieve life and Career goals through part-time business venture.
2. Acquire life changing business skills.
3. Prepare for retirement.
Habari za Leo mfuatiliaji wangu wa makala zangu za kila siku.
Bado tunaendelea na somo letu pendwa juu ya fedha/shekeli
Leo tunakwenda kujifunza ‘UMASIKINI HAUHESHIMU MTU, UMRI, RANGI, CHEO, SEHEMU AISHIYO AU DINI YAKE.’
Nikuombe sasa tusafiri pamoja kwa njia ya kuwazua. Hebu fikiria mtu aliyenunua pasi ya umeme na kuanza kuhangaika kupasia nguo kwa pasi ya umeme pasipo kuiunganisha kwenye switch ili pasi ipate moto na kuweza kupasia nguo; Lakini cha ajabu kuishika tu pasi kazi ya kupasia ikaanza mara moja na huku akiendelea kustaajabu ni kwa nini nguo hazisikii pasi ambayo kwa uhakika ni nzuri kwa muonekano.
Jitihada ziliendelea hata kutumia vitufe vya kubadili kiwango cha joto kwenye pasi lakini pasi mafanikio.
Baada ya mahangaiko ya kutosha ndipo aliamua kukisoma kijitabu kilichoambatana na hiyo pasi na kugundua ya kuwa kuna hatua muhimu na ndio ya kwanza ilipuuzwa ambayo nikuunganisha plug ya pasi kwenye socket ili kupata moto na kuweza kupasia mara moja. Ni kivipi waweza tumia pasi ya umeme pasipo kuiunganisha kwenye socket ya umeme. Plug ya pasi ikiwa imeunganishwa kwenye soketi juhudi zote za kupasia nguo zitazaa matunda.
Ninachotaka ukijue siku ya leo ni kuwa juhudi za kupasia nguo hazikuwa mbaya lakini zilishindwa kutoa matokeo chanya kwa sababu moja kuu kutounganishwa kwenye socket ambako ndio upatikanapo moto wa kuwezesha kupasia.
Wengi wetu ni kama huyu mtu, Tunafanya kila tuwezayo kuyafanya katika maisha kuboresha maisha yetu lakini cha ajabu tunabaki tukiwa masikini ni kwa sababu hatutajiunganisha na yale yawezayo kubadilisha kabisa historia zetu na kupuuzia kijitabu cha taarifa ya jinsi gani juhudi zetu zaweza zaa matunda.
Ili tuweze kuwa matajiri ni muhimu kwanza kujua kwanini tu masikini.
Hebu tafakari haya maswali mawili muhimu ambayo kila siku tujithamini na tuone kwanini moja ya swali si vyema kujiuliza na linguine ni jema.
NIFANYE NINI KUWEZA KUWA TAJIRI – X
KWA NINI MIMI SI TAJIRI - √
Wengi wetu tumejitaabisha na hata kufanya utafiti wa nini tufanye ili kufikia utajiri badala ya kujiuliza kwa nini tu masikini kwani kwa kufanya hivyo tutagundua vipingamizi ambavyo tutaweza pambana navyo na kujinasua kwenye dimbwi la umasikini.
Bila kujali unaishi wapi umasikini ni matokeo ya sababu zilizo chini ya mambo 7 muhimu ambayo ukiyajua basi itakurahisishia kupambana na umasikini.
Acha kwa leo niishie hapa. Usikose kunifuatilia katika Makala zinazofuata.
Karakana ya ubongo tunatengeneza ubongo wako
Kwa wasioijua karakana ya ubongo ni watu waliojikusanya pamoja katika kundi la watsapp kwa lengo la kuondoa takataka kwenye ufahamu na kuanza kujifunza pamoja na kukutana angalau mara moja kwa mwezi ili kuwa chachu ndani na nje ya nchi.
Ili kujiunga yakupasa kuwasiliana nami ili kuweza kukufanyia udahili kama unavigezo vya kuwa mmoja wa wanakarakana ya ubongo.
Na kwa sasa tuna kitabu maarufu kiitwacho ‘KOPE ZAKO BAHARI YAKO’ na kama wewe ni mmoja ya wanaojipenda hiki kitabu si cha kukosa. Tuwasiliane na kuona jinsi ya kukipata.
Seth Simon Mwakitalu
Senior Auditor, Entrepreneurship Consultant, Coach and Lifestyle Trainer.
Tel:- +255 754 441325; +255 788 493836
Email: ssmwakitalu2013@gmail.com
Websites:www.karakanayaubongo.blogspot.com;
Instagram: karakana_ya_ubongo
Facebook: https://www.facebook.com/karakana-YA-Ubongo-109000130642880/?referr=whatsapp
You tube: karakanayaubongo
We empower people:-
1. Achieve life and Career goals through part-time business venture.
2. Acquire life changing business skills.
3. Prepare for retirement.
Maoni
Chapisha Maoni