Somo Juu Ya Fedha/Shekeli Sehemu Ya 20
Habari za leo mfuatiliaji wangu wa makala zangu za kila siku.
Bado tunaendelea na somo letu pendwa juu ya fedha/shekeli
Leo tunakwenda kujifunza juu ya AINA 5 ZA UFAHAMU ULIOTIWA SUMU JUU YA UWEKEZAJI. Makala iliyopita tuliongelea aina mbili za sumu juu ya uwekezaji. Leo tunaendelea na nikuombe endelea kunifuatilia:-
.
3. KUJIHALALISHIA/DHANA YA UMILIKI – Katika kuongelea aina hii ya tatu, Makala iliyopita nilimalizia kwa kusema:-
‘Swali linasema unataka kuwa mzima? Hebu angalia jibu la mgonjwa kwa swali la Bwana Yesu - Yule mgonjwa akamjibu, Bwana, mimi sina mtu wa kunitia birikani, maji yanapotibuliwa; ila wakati ninapokuja mimi, mtu mwingine hushuka mbele yangu.
Je swali na jibu vina uhusiano? Kinachoonekana kwa huyu mgonjwa ni kwamba alikwisha jihalalishia ya kuwa kupona kwake asahau kwa hiyo akawa mmiliki wa ugonjwa wake na kwamba haiwezekani yeye kupona. Unaiona hatari ya kujimilikisha inavyotesa watu. Kwa Jina la Yesu naomba usiwe mmojawapo. Funguliwa na hiyo roho.
Ndipo Yesu kwa huruma akaamua kumfungua vinginevyo angebaki vivyo hivyo - Yesu akamwambia, Simama, jitwike godoro lako, uende.
Mara yule mtu akawa mzima, akajitwika godoro lake, akaenda. Nayo ilikuwa ni sabato siku hiyo.
Nataka ujue ya kuwa kwa YESU hakuna la kushindikana. Mkimbilie Yesu Kristo upate uhuru kwa kila idara.’
Leo nataka utambue ya kuwa, huyu mtu aliendelea kuteseka na ugonjwa kwa miaka 38 si kwamba shetani alionekana ni mwenye nguvu sana kumshinda Yesu na pia si kwamba Yesu kwa kipindi chote hicho ambacho amekuwa akiugua uweza wake ulipungua, la hasha, ila kukubali kwake kwamba ugonjwa huo kupona ni vigumu ndiko kulimfanya abaki kifungoni akiteseka. Tukiangalia kwa makini juu ya huyu mtu kwa tabia yake ya kujionea ni vigumu kuondokana na ugonjwa aliokuwa nao, tunajifunza mambo yafuatayo:-
1. Swali ninalojiuliza ina maana miaka 38 haikutosha kumfanya kushoshwa na mateso aliyokuwa akiyapitia kiasi cha kushidwa kutambua majira ya malaika walipokuwa wakija kutibua maji?
2. Kama ndugu msomaji unadhani huo ulikuwa muda mwingi sana wa mtu kuteseka, kwa nini hakuamuua kubaki ndani ya maji na siku malaika wakija kutibua wamkute ndani ya maji tayarI? Mungu angalimuona juu ya kuwa kushoshwa kwake na hali hiyo na angalibadilisha historia kabisa. Yesu alimuuliza swali rahisi sana ‘UNATAKA KUWA MZIMA’ na chakushangaza aliendelea kuthibitisha hali yake yakukata tamaa ya kuwa kupona kwake ni vigumu akiwa na ushahidi wa sababu.
3. Ukitaka kuthibitisha hoja yangu, ni pale alipojibu ‘Yule mgonjwa akamjibu, Bwana, mimi sina mtu wa kunitia birikani, maji yanapotibuliwa; ila wakati ninapokuja mimi, mtu mwingine hushuka mbele yangu’. Huyu mgonjwa alijua fika uponywaji wake ungalipatikana katika yale maji, lakini cha kushangaza kila wakati wenzake walimuwai kuingia. Hii inamaanisha wenzake walijikalisha karibu na maji na yeye alikaa mbali na maji. Hivi ni kwa nini ukae mbali na sehemu unayojua ndipo penye baraka zako?
4. Alisema ‘ Nilipokuwa nakwenda’ Kwa hiyo inamaana aliweza kutembea mwenyewe, sasa kwa nini alisema ‘Sina mtu wa kunisaidia’. Sasa waweza ona jinsi alivyokubali ya kuwa ugonjwa ni wake na haiwezekani kupona. Kwa nini umlaumu mtu mwingine wakati wewe mwenyewe umeruhusu na kwa nini utegemee watu wengine wafanye kwa niaba yako jambo ambalo waweza lifanya wenyewe. Aibu!
5. Kama kweli alikuwa ameshoshwa na ile hali, kwa nini alitegemea maji tu kama njia pekee ya kufunguliwa wakati kuna fursa nyingi tu za kiMungu mfano wa mikutano mbalimbali aliyoifanya Yesu Kristo kwa nini hakukimbilia huko kutafuta msaada kama alivyofanya akida mmoja.
Tusome LUKA 7:1-10
Luka 7:1 Alipokwisha kuyamaliza maneno yake yote masikioni mwa watu, aliingia Kapernaumu.
Luka 7:2 Na mtumwa wake akida mmoja alikuwa hawezi, karibu na kufa; naye ni mtu aliyempenda sana.
Luka 7:3 Aliposikia habari za Yesu, alituma wazee wa Wayahudi kwake kumwomba aje amponye mtumwa wake.
Luka 7:4 Nao walipofika kwa Yesu, walimsihi sana wakisema, Amestahili huyu umtendee neno hili;
Luka 7:5 maana, analipenda taifa letu, naye alitujengea sinagogi.
Luka 7:6 Basi Yesu akaenda pamoja nao. Hata alipokuwa si mbali na nyumba yake, yule akida alituma rafiki kwake, akamwambia, Bwana, usijisumbue, maana mimi sistahili wewe uingie chini ya dari yangu;
Luka 7:7 kwa hiyo nilijiona sistahili mwenyewe kuja kwako; lakini, sema neno tu, na mtumwa wangu atapona.
Luka 7:8 Kwa maana mimi nami ni mtu niliyewekwa chini ya mamlaka, mwenye askari chini yangu; nikimwambia huyu, Nenda, huenda; na huyu, Njoo, huja; na mtumwa wangu, Fanya hivi, hufanya.
Luka 7:9 Yesu aliposikia hayo alimstaajabia, akaugeukia mkutano uliokuwa ukimfuata, akasema, Nawaambia, hata katika Israeli sijaona imani kubwa namna hii.
Luka 7:10 Na wale waliotumwa waliporudi nyumbani, wakamkuta yule mtumwa ni mzima.
Mifano iko mingi jinsi watu walivyohangaika kupata suluhisho la changamoto zao. Naomba kwa wakati wako kasome Marko 5:21-43, Matayo 15:21-28, Marko 10:46-52
Ningaliweza kuendelea na kuendelea, lakini naamini nimethibitisha kile ninachosimamia ya kuwa huyu mtu alijikatia tamaa kiasi cha kuona ugonjwa alikuwa nao kupona haiwezekani.
Naomba niongee na wewe unayesoma hii Makala, tafadhali tambua hakuna kitu cha kukutesa wewe kikawa cha kudumu ni mpaka wewe mwenyewe uruhusu. Kataa Yesu anaweza na HAKUNA JAMBO GUMU LA KUMSHINDA.
Acha kwa leo niishie hapa tutaendeleza somo hili katika Makala ijayo. Usikose kunifuatilia katika Makala zinazofuata.
Karakana ya ubongo tunatengeneza ubongo wako
Kwa wasioijua karakana ya ubongo ni watu waliojikusanya pamoja katika kundi la watsapp kwa lengo la kuondoa takataka kwenye ufahamu na kuanza kujifunza pamoja na kukutana angalau mara moja kwa mwezi ili kuwa chachu ndani na nje ya nchi.
Ili kujiunga yakupasa kuwasiliana nami ili kuweza kukufanyia udahili kama unavigezo vya kuwa mmoja wa wanakarakana ya ubongo.
Na kwa sasa tuna kitabu maarufu kiitwacho ‘KOPE ZAKO BAHARI YAKO’ na kama wewe ni mmoja ya wanaojipenda hiki kitabu si cha kukosa. Tuwasiliane na kuona jinsi ya kukipata.
Seth Simon Mwakitalu
Senior Auditor, Entrepreneurship Consultant, Coach and Lifestyle Trainer.
Tel:- +255 754 441325; +255 788 493836
Email: ssmwakitalu2013@gmail.com
Websites:www.karakanayaubongo.blogspot.com;
Instagram: karakana_ya_ubongo
Facebook: https://www.facebook.com/karakana-YA-Ubongo-109000130642880/?referr=whatsapp
You tube: karakanayaubongo
We empower people:-
1. Achieve life and Career goals through part-time business venture.
2. Acquire life changing business skills.
3. Prepare for retirement.
Habari za leo mfuatiliaji wangu wa makala zangu za kila siku.
Bado tunaendelea na somo letu pendwa juu ya fedha/shekeli
Leo tunakwenda kujifunza juu ya AINA 5 ZA UFAHAMU ULIOTIWA SUMU JUU YA UWEKEZAJI. Makala iliyopita tuliongelea aina mbili za sumu juu ya uwekezaji. Leo tunaendelea na nikuombe endelea kunifuatilia:-
.
3. KUJIHALALISHIA/DHANA YA UMILIKI – Katika kuongelea aina hii ya tatu, Makala iliyopita nilimalizia kwa kusema:-
‘Swali linasema unataka kuwa mzima? Hebu angalia jibu la mgonjwa kwa swali la Bwana Yesu - Yule mgonjwa akamjibu, Bwana, mimi sina mtu wa kunitia birikani, maji yanapotibuliwa; ila wakati ninapokuja mimi, mtu mwingine hushuka mbele yangu.
Je swali na jibu vina uhusiano? Kinachoonekana kwa huyu mgonjwa ni kwamba alikwisha jihalalishia ya kuwa kupona kwake asahau kwa hiyo akawa mmiliki wa ugonjwa wake na kwamba haiwezekani yeye kupona. Unaiona hatari ya kujimilikisha inavyotesa watu. Kwa Jina la Yesu naomba usiwe mmojawapo. Funguliwa na hiyo roho.
Ndipo Yesu kwa huruma akaamua kumfungua vinginevyo angebaki vivyo hivyo - Yesu akamwambia, Simama, jitwike godoro lako, uende.
Mara yule mtu akawa mzima, akajitwika godoro lake, akaenda. Nayo ilikuwa ni sabato siku hiyo.
Nataka ujue ya kuwa kwa YESU hakuna la kushindikana. Mkimbilie Yesu Kristo upate uhuru kwa kila idara.’
Leo nataka utambue ya kuwa, huyu mtu aliendelea kuteseka na ugonjwa kwa miaka 38 si kwamba shetani alionekana ni mwenye nguvu sana kumshinda Yesu na pia si kwamba Yesu kwa kipindi chote hicho ambacho amekuwa akiugua uweza wake ulipungua, la hasha, ila kukubali kwake kwamba ugonjwa huo kupona ni vigumu ndiko kulimfanya abaki kifungoni akiteseka. Tukiangalia kwa makini juu ya huyu mtu kwa tabia yake ya kujionea ni vigumu kuondokana na ugonjwa aliokuwa nao, tunajifunza mambo yafuatayo:-
1. Swali ninalojiuliza ina maana miaka 38 haikutosha kumfanya kushoshwa na mateso aliyokuwa akiyapitia kiasi cha kushidwa kutambua majira ya malaika walipokuwa wakija kutibua maji?
2. Kama ndugu msomaji unadhani huo ulikuwa muda mwingi sana wa mtu kuteseka, kwa nini hakuamuua kubaki ndani ya maji na siku malaika wakija kutibua wamkute ndani ya maji tayarI? Mungu angalimuona juu ya kuwa kushoshwa kwake na hali hiyo na angalibadilisha historia kabisa. Yesu alimuuliza swali rahisi sana ‘UNATAKA KUWA MZIMA’ na chakushangaza aliendelea kuthibitisha hali yake yakukata tamaa ya kuwa kupona kwake ni vigumu akiwa na ushahidi wa sababu.
3. Ukitaka kuthibitisha hoja yangu, ni pale alipojibu ‘Yule mgonjwa akamjibu, Bwana, mimi sina mtu wa kunitia birikani, maji yanapotibuliwa; ila wakati ninapokuja mimi, mtu mwingine hushuka mbele yangu’. Huyu mgonjwa alijua fika uponywaji wake ungalipatikana katika yale maji, lakini cha kushangaza kila wakati wenzake walimuwai kuingia. Hii inamaanisha wenzake walijikalisha karibu na maji na yeye alikaa mbali na maji. Hivi ni kwa nini ukae mbali na sehemu unayojua ndipo penye baraka zako?
4. Alisema ‘ Nilipokuwa nakwenda’ Kwa hiyo inamaana aliweza kutembea mwenyewe, sasa kwa nini alisema ‘Sina mtu wa kunisaidia’. Sasa waweza ona jinsi alivyokubali ya kuwa ugonjwa ni wake na haiwezekani kupona. Kwa nini umlaumu mtu mwingine wakati wewe mwenyewe umeruhusu na kwa nini utegemee watu wengine wafanye kwa niaba yako jambo ambalo waweza lifanya wenyewe. Aibu!
5. Kama kweli alikuwa ameshoshwa na ile hali, kwa nini alitegemea maji tu kama njia pekee ya kufunguliwa wakati kuna fursa nyingi tu za kiMungu mfano wa mikutano mbalimbali aliyoifanya Yesu Kristo kwa nini hakukimbilia huko kutafuta msaada kama alivyofanya akida mmoja.
Tusome LUKA 7:1-10
Luka 7:1 Alipokwisha kuyamaliza maneno yake yote masikioni mwa watu, aliingia Kapernaumu.
Luka 7:2 Na mtumwa wake akida mmoja alikuwa hawezi, karibu na kufa; naye ni mtu aliyempenda sana.
Luka 7:3 Aliposikia habari za Yesu, alituma wazee wa Wayahudi kwake kumwomba aje amponye mtumwa wake.
Luka 7:4 Nao walipofika kwa Yesu, walimsihi sana wakisema, Amestahili huyu umtendee neno hili;
Luka 7:5 maana, analipenda taifa letu, naye alitujengea sinagogi.
Luka 7:6 Basi Yesu akaenda pamoja nao. Hata alipokuwa si mbali na nyumba yake, yule akida alituma rafiki kwake, akamwambia, Bwana, usijisumbue, maana mimi sistahili wewe uingie chini ya dari yangu;
Luka 7:7 kwa hiyo nilijiona sistahili mwenyewe kuja kwako; lakini, sema neno tu, na mtumwa wangu atapona.
Luka 7:8 Kwa maana mimi nami ni mtu niliyewekwa chini ya mamlaka, mwenye askari chini yangu; nikimwambia huyu, Nenda, huenda; na huyu, Njoo, huja; na mtumwa wangu, Fanya hivi, hufanya.
Luka 7:9 Yesu aliposikia hayo alimstaajabia, akaugeukia mkutano uliokuwa ukimfuata, akasema, Nawaambia, hata katika Israeli sijaona imani kubwa namna hii.
Luka 7:10 Na wale waliotumwa waliporudi nyumbani, wakamkuta yule mtumwa ni mzima.
Mifano iko mingi jinsi watu walivyohangaika kupata suluhisho la changamoto zao. Naomba kwa wakati wako kasome Marko 5:21-43, Matayo 15:21-28, Marko 10:46-52
Ningaliweza kuendelea na kuendelea, lakini naamini nimethibitisha kile ninachosimamia ya kuwa huyu mtu alijikatia tamaa kiasi cha kuona ugonjwa alikuwa nao kupona haiwezekani.
Naomba niongee na wewe unayesoma hii Makala, tafadhali tambua hakuna kitu cha kukutesa wewe kikawa cha kudumu ni mpaka wewe mwenyewe uruhusu. Kataa Yesu anaweza na HAKUNA JAMBO GUMU LA KUMSHINDA.
Acha kwa leo niishie hapa tutaendeleza somo hili katika Makala ijayo. Usikose kunifuatilia katika Makala zinazofuata.
Karakana ya ubongo tunatengeneza ubongo wako
Kwa wasioijua karakana ya ubongo ni watu waliojikusanya pamoja katika kundi la watsapp kwa lengo la kuondoa takataka kwenye ufahamu na kuanza kujifunza pamoja na kukutana angalau mara moja kwa mwezi ili kuwa chachu ndani na nje ya nchi.
Ili kujiunga yakupasa kuwasiliana nami ili kuweza kukufanyia udahili kama unavigezo vya kuwa mmoja wa wanakarakana ya ubongo.
Na kwa sasa tuna kitabu maarufu kiitwacho ‘KOPE ZAKO BAHARI YAKO’ na kama wewe ni mmoja ya wanaojipenda hiki kitabu si cha kukosa. Tuwasiliane na kuona jinsi ya kukipata.
Seth Simon Mwakitalu
Senior Auditor, Entrepreneurship Consultant, Coach and Lifestyle Trainer.
Tel:- +255 754 441325; +255 788 493836
Email: ssmwakitalu2013@gmail.com
Websites:www.karakanayaubongo.blogspot.com;
Instagram: karakana_ya_ubongo
Facebook: https://www.facebook.com/karakana-YA-Ubongo-109000130642880/?referr=whatsapp
You tube: karakanayaubongo
We empower people:-
1. Achieve life and Career goals through part-time business venture.
2. Acquire life changing business skills.
3. Prepare for retirement.
Maoni
Chapisha Maoni