Somo Juu Ya Fedha/Shekeli Sehemu Ya 30
Habari za leo mfuatiliaji wangu wa makala zangu za kila siku.
Bado tunaendelea na somo letu pendwa juu ya fedha/shekeli
Leo tunakwenda kujifunza juu ya kwa nini uko jinsi ulivyo.
Kwa nini uko njinsi ulivyo – Kuna mambo unatakiwa kuyajua ambayo yanachangia sana kukutengeneza na kuonekana jinsi ulivyo. Leo tunakwenda kuangalia jambo la saba linalomtengeneza mtu:-
ROHO MTAKATIFU – Mkristo katika makuzi yake ya kiroho kuna hatua anapitia zilizo muhimu, hatua ya kwanza ni hatua anayoifikia kuujua ukweli ya kwamba hawezi kumpendeza Mungu pasipo kuukubali mpango wa Mungu wa ukombozi kupitia Yesu Kristo aliye Bwana na Mwokozi wa Maisha yetu.
Kila mwanadamu chini ya jua hana budi kutubu dhambi zake na kumpokea Yesu Kristo kama Bwana na Mwokozi wa maisha binafsi.
Baada ya hapo ubatizo wa maji hufuata japo si utaratibu rasmi kwa kuwa mtu aweza kumpokea Yesu Kristo na kubatizwa kwa Roho Mtakatifu kabla ya ubatizo wa maji. Hivyo hatua hii ya ubatizo wa Roho Mtakatifu au kujazwa na Roho Mtakatifu ni siri ya ajabu ambayo husababisha badiliko la ajabu kwa muumini na ndipo ninaposema muumini yeyote ana haki ya kuomba kujazwa na Roho Mtakatifu.
Roho Mtakatifu atakusababishia ufahamu wako uzidi kuwa makini na kubwa zaidi unakuwa na uwezo wa kushiriki moja kwa moja akili ya Bwana Yesu Kristo pale utakapoamua kuomba kwa Roho Mtakatifu yaani kunena kwa lugha mpya na mambo yako mengi kama si yote yataanza kuongozwa na Roho Mtakatifu. Niseme tu thamani ya mkristo hupanda anapofikia hatua hii.
Ndugu mpendwa, hapa ndipo nahitimisha juu ya mambo muhimu saba ambayo humtengeneza mtu kuwa jinsi alivyo.
Tuzidi kuwasiliana iwapo utakuwa na maswali.
Acha kwa leo niishie hapa tutaendeleza somo hili katika Makala ijayo. Usikose kunifuatilia katika Makala zinazofuata.
Karakana ya ubongo tunatengeneza ubongo wako
Kwa wasioijua karakana ya ubongo ni watu waliojikusanya pamoja katika kundi la watsapp kwa lengo la kuondoa takataka kwenye ufahamu na kuanza kujifunza pamoja na kukutana angalau mara moja kwa mwezi ili kuwa chachu ndani na nje ya nchi.
Ili kujiunga yakupasa kuwasiliana nami ili kuweza kukufanyia udahili kama unavigezo vya kuwa mmoja wa wanakarakana ya ubongo.
Na kwa sasa tuna kitabu maarufu kiitwacho ‘KOPE ZAKO BAHARI YAKO’ na kama wewe ni mmoja ya wanaojipenda hiki kitabu si cha kukosa. Tuwasiliane na kuona jinsi ya kukipata.
Seth Simon Mwakitalu
Senior Auditor, Entrepreneurship Consultant, Coach and Lifestyle Trainer.
Tel:- +255 754 441325; +255 788 493836
Email: ssmwakitalu2013@gmail.com
Websites:www.karakanayaubongo.blogspot.com;
Instagram: karakana_ya_ubongo
Facebook: https://www.facebook.com/karakana-YA-Ubongo-109000130642880/?referr=whatsapp
You tube: karakanayaubongo
We empower people:-
1. Achieve life and Career goals through part-time business venture.
2. Acquire life changing business skills.
3. Prepare for retirement.
Habari za leo mfuatiliaji wangu wa makala zangu za kila siku.
Bado tunaendelea na somo letu pendwa juu ya fedha/shekeli
Leo tunakwenda kujifunza juu ya kwa nini uko jinsi ulivyo.
Kwa nini uko njinsi ulivyo – Kuna mambo unatakiwa kuyajua ambayo yanachangia sana kukutengeneza na kuonekana jinsi ulivyo. Leo tunakwenda kuangalia jambo la saba linalomtengeneza mtu:-
ROHO MTAKATIFU – Mkristo katika makuzi yake ya kiroho kuna hatua anapitia zilizo muhimu, hatua ya kwanza ni hatua anayoifikia kuujua ukweli ya kwamba hawezi kumpendeza Mungu pasipo kuukubali mpango wa Mungu wa ukombozi kupitia Yesu Kristo aliye Bwana na Mwokozi wa Maisha yetu.
Kila mwanadamu chini ya jua hana budi kutubu dhambi zake na kumpokea Yesu Kristo kama Bwana na Mwokozi wa maisha binafsi.
Baada ya hapo ubatizo wa maji hufuata japo si utaratibu rasmi kwa kuwa mtu aweza kumpokea Yesu Kristo na kubatizwa kwa Roho Mtakatifu kabla ya ubatizo wa maji. Hivyo hatua hii ya ubatizo wa Roho Mtakatifu au kujazwa na Roho Mtakatifu ni siri ya ajabu ambayo husababisha badiliko la ajabu kwa muumini na ndipo ninaposema muumini yeyote ana haki ya kuomba kujazwa na Roho Mtakatifu.
Roho Mtakatifu atakusababishia ufahamu wako uzidi kuwa makini na kubwa zaidi unakuwa na uwezo wa kushiriki moja kwa moja akili ya Bwana Yesu Kristo pale utakapoamua kuomba kwa Roho Mtakatifu yaani kunena kwa lugha mpya na mambo yako mengi kama si yote yataanza kuongozwa na Roho Mtakatifu. Niseme tu thamani ya mkristo hupanda anapofikia hatua hii.
Ndugu mpendwa, hapa ndipo nahitimisha juu ya mambo muhimu saba ambayo humtengeneza mtu kuwa jinsi alivyo.
Tuzidi kuwasiliana iwapo utakuwa na maswali.
Acha kwa leo niishie hapa tutaendeleza somo hili katika Makala ijayo. Usikose kunifuatilia katika Makala zinazofuata.
Karakana ya ubongo tunatengeneza ubongo wako
Kwa wasioijua karakana ya ubongo ni watu waliojikusanya pamoja katika kundi la watsapp kwa lengo la kuondoa takataka kwenye ufahamu na kuanza kujifunza pamoja na kukutana angalau mara moja kwa mwezi ili kuwa chachu ndani na nje ya nchi.
Ili kujiunga yakupasa kuwasiliana nami ili kuweza kukufanyia udahili kama unavigezo vya kuwa mmoja wa wanakarakana ya ubongo.
Na kwa sasa tuna kitabu maarufu kiitwacho ‘KOPE ZAKO BAHARI YAKO’ na kama wewe ni mmoja ya wanaojipenda hiki kitabu si cha kukosa. Tuwasiliane na kuona jinsi ya kukipata.
Seth Simon Mwakitalu
Senior Auditor, Entrepreneurship Consultant, Coach and Lifestyle Trainer.
Tel:- +255 754 441325; +255 788 493836
Email: ssmwakitalu2013@gmail.com
Websites:www.karakanayaubongo.blogspot.com;
Instagram: karakana_ya_ubongo
Facebook: https://www.facebook.com/karakana-YA-Ubongo-109000130642880/?referr=whatsapp
You tube: karakanayaubongo
We empower people:-
1. Achieve life and Career goals through part-time business venture.
2. Acquire life changing business skills.
3. Prepare for retirement.
Maoni
Chapisha Maoni